Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha anawatangazia Wananchi wote kuwa kutakuwa na mnada wa hadhara wa kuuza magari chakavu ya Halmashauri ya Mji Kibaha utakaofanyika eneo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani na Ofisi ya Polisi (W) Kibaha siku ya Alhamisi tarehe 14/06/2018 kuanzia saa 5:00 asubuhi. Orodha ya mali hizo zimeainishwa katika jedwali hapa :Bofya hapa TANGAZO LA MNADA.pdf
Kibaha Town Council
Anuani ya Posta: P.0.Box 30112
Simu: 023 240 2938
Simu ya Kiganjani: Mkurugenz0715390421
Barua Pepe: td.kibaha@pwani.go.tz & td@kibahatc.go.tz. SIMU: Afisa Mipango Miji: 0754999923 & Afisa Ardhi: 0713957639
Haki Zote Zimahifadhiwa