• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

BAJETI YA MWAKA 2023/2024 KIBAHA MJI KUJENGA SHULE MPYA NNE NA ZAHANATI

Posted on: February 22nd, 2023

Na.Byarugaba Innocent,Kibaha.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhe.Mussa Ndomba amelieleza baraza la Madiwani kuwa kwenye Mpango wa bajeti ya 2023/2024 jumla ya shule za Sekondari tatu na moja shule ya Msingi zitajengwa.

Baraza hilo limeketi leo Jumatano Februari 22,2023 kupitia na kuridhia mapendekezo ya bajeti kwa Mwaka wa fedha 2023/2024

Shule hizo zitajengwa kwenye Kata ya Mkuza shule moja ya sekondari,Kata ya Tangini shule moja ya Sekondari na Kata ya Kibaha zikijengwa shule mbili Msingi na sekondari ili kuwaondolea kero wanafunzi

Mhe.Augustino Mdachi wa Kata ya Pangani na Mhe.Leonard Mlowe wamewapongeza wataalam wa Halmashauri kwa kuandaa bajeti kitaalam na wametoa rai kwenda kuitekeleza kama ilivyopangwa

Matangazo

  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA HOSPITARI YA WILAYA LULANZI March 22, 2023
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUFANYA KAZI YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 27, 2022
  • KUAHIRISHWA KWA MAFUNZO YA SENSA July 28, 2022
  • HALI YA MAKUSANYO YA HALMASHAURI KWA MIAKA KUMI MFULULIZO KUANZIA 2012-2022 August 05, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MIAKA 2 YA DKT.SAMIA ILIVYOIMARISHA SEKTA YA AFYA KIBAHA

    March 17, 2023
  • MIAKA MIWILI YA DKT.SAMIA KAZINI NA JICHO LA ELIMU KIBAHA.

    March 14, 2023
  • KIBAHA MJI YAPITISHA BAJETI RAFIKI KWA WANANCHI ,2023/2024

    February 22, 2023
  • BAJETI YA MWAKA 2023/2024 KIBAHA MJI KUJENGA SHULE MPYA NNE NA ZAHANATI

    February 22, 2023
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa