• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Taarifa Kwa Umma

MHE.NDIKILO ATEMBELEA VIWANDA KIBAHA MJINI

Na.Innocent Byarugaba, Kibaha

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe.Evarist Ndikilo amefanya ziara ya Siku Moja mwishoni mwa wiki  kwenye Halmashauri ya Mji Kibaha kujionea namna viwanda vinavyozidi kujengwa ,Kuanza uzalishaji huku akifurahishwa na idadi kubwa ya ajira zinaZotolewa kwa vijana wa Kitanzania

Akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe.Assumpter Mshama, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Bi Jenifa Omolo  na Kamati ya ulinzi na Usalama amefurahishwa na ujenzi wa Kiwanda cha  Kairuki kinachotarajiwa kutengenza dawa za binadamu na Vifa tiba huku kikiwa na mtaji wa bilioni 3.9 za ujenzi pekee

Ndikilo ameisifu menejimenti ya Kairuki kwa kuamua kufanya uwekezaji mkubwa ndani ya Mkoa wa Pwani na kwamba wameunga mkono kwa vitendo hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli aliyoitoa hivi karibuni wakati akizindua magari 181 ya Bohari ya Dawa nchini MSD kwamba kwa kufanya hivyo wamepunguza kiasi cha 500 bilioni ambazo hutumika kuagiza dawa na vifaa tiba nje ya nchi

Aidha, Pamoja na Kutoa ajira zaidi ya 1200 kwa watazania, amesisitiza viwanda vyote kuujulisha umma wa watanzania na dunia kwa ujumla kuwa bidhaa zao zimezalishwa Kibaha kwani huo ndio ukweli wenyewe na si China ama Dar es Salaam kama wanavyoandika “haiwezekani bidhaa izalishwe Kibaha tukiwa tunaiona ikizalishwa halafu eti inaandikwa made in China, hiyo haikubaliki”alisema

Viwanda vingine alivyotembelea ni kile kinachoounganisha Matrekta ya Ursus ,Kiwanda cha kukoboa na kusaga na nafaka cha jogoo, Kiwanda cha kutengeneza nguzo za umeme kwa teknolojia ya kutumia Mchanga na Sementi, Kiwanda cha kutengeneza betri za vyombo vya Moto, Kiwanda cha kutengeneza vibania  nguo pamoja na  kiwanda cha KEDS kinachotengeneza sabuni za unga pamoja na Misumari huku viwanda vyote vikiwa na Mtaji wa Zaidi ya Bilioni 34

Hii ni mara ya tatu kwa Mkuu wa Mkoa kufanya Ziara ya kuvitembelea viwanda katika Halmashauri ya Mji Kibaha ndani ya miezi 6 na kwamba  Vimeendelea kujengwa na kuzalisha kwa kasi huku vikileta tija kwa taifa na kuboresha maendeleo ya watanzania Kimaisha.



Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHUGUZI , Mhe. JAJI WA RUFAA JACOBS MWAMBEGELE LEO MEI 14,2025 AMETEMBELEA NA KUZUNGUMZA NA WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.

    May 14, 2025
  • ZOEZI LA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI 16 KIBAHA TC

    May 09, 2025
  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa