• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Manunuzi na Ugavi

Majukumu Muhimu ya Kitengo cha Manunuzi na Ugavi

  1. Kusimamia Manunuzi ya Bidhaa na Huduma Pamoja na Uuzaji wa Vifaa vichakavu kwenye Taasisi kwa Mujibu wa Sheria ya Manunuzi 7,2011 na Kanuni zake 446.2013
  2. kuwezesha Bodi ya Zabuni Halmashauri ya Mji kutekeleza Majukumu yake.
  3. kusimamia na kutekeleza Maagizo na Ushauri wa Bodi ya Zabuni.
  4. kufanya kazi za Sekretarieti kwenye vikao vya Bodi ya Zabuni.
  5. kuandaa na kusimamia Mpango wa Manunuzi wa Halmashauri ya Mji.
  6. kutoa Mapendekezo ya taratibu Sahii za kufuatwa  wakati wa Manunuzi na Uuzaji wa vifaa vichakafu. 
  7. kuandaa Makabrasha ya Zabuni na Matangazo ya Zabuni
  8. kuandaa Mikataba yote ya Wakandarasi na Watoa Huduma waliopatikana kwa njia ya Nanunuzi.
  9. kutoa Mikataba iliyohakikiwa na Mwanasheria kwa Wazabuni na watoa Huduma.
  10. kuweka kumbukumbu sahii za Manunuzi yote pamoja na Uuzaji wa vifaa vichakavu.
  11. kuweka kumbukumbu sahii ya kila Mikataba na Usimamizi wake.
  12. kuandaa Taarifa ya Manunuzi ya Mwezi na kuwasilisha kwenye vikao vya Bodi ya Zabuni.
  13. kuandaa Taarifa ya Manunuzi ya kila Robo Mwaka na kuwasilisha kwenye vikao vya Menejimenti ya Halmashauri ya Mji.

UFUPISHO WA MPANGO WA MANUNUZI KWA MWAKA WA FEDHA  2017/2018

NO. 
KUNDI
IDADI YA ZABUNI
GHARAMA YA ZABUNI
1
BIDHAA

15

977,516,200

2
KAZI ZA UJENZI

46

8,220,216,970

3
WAJENZI WASHAURI

2

318,545,000

4
KAZI ZA HUDUMA

10

315,373,600

 
JUMLA YA BUDGETI KWA  MPANGO WA MANUNUZI
 

73

9,831,651,770

 

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ZOEZI LA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI 16 KIBAHA TC

    May 09, 2025
  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa