• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TEHAMA na Habari na Uhusiano

Kitengo kilianzishwa Rasmi Januari, 2013 Katika Halmahauri yetu kikiwa na Watumishi Wawili mmoja kiwa ni Afisa Habari na Afisa TEHAMA.

Kitengo hiki kimekuwa kikifanya majukumu ambayo yamegawanywa  sehemu mbili kama ifuatavyo;


I. Habari na Uhusiano

  • Kusimamia Sera, Sheria, Taratibu na miongozo inayotolewa na serikali juu ya
    uendeshaji wa Mifumo, Miundombinu na vifaa vya Habari na Mawasiliano katika Halmashauri Kutoa Matangazo yote ya Kazi na
  • Miradi inayotekelezwa kwenye Halmashauri
  • Kutoa Vijarida, Vipeperushi na Vitambulisho vya kazi kwa watumishi wa Halmashauri
  • Kutangaza Vivutio vya utalii na Maeneo ya Uwekezaji ya Halmashauri kwenye Tovuti,
    Runinga, Magazeti na Redio Kupiga picha za Matukio mbalimbali yanayotokea Halmashauri na Kuyahidhi kwa
    ajili ya Kumbukumbu  za Halmashauri
  • Kukusanya na Kuaandaa Habari za Halmashauri
  • Kukusanya Takwimu Mbalimbali za Halmashauri
  • Kukusanya habari za Halmashauri zilizochapishwa kwenye Magazeti mbalimbali
  • Kukusanya na kutunza habari za mtandaoni zinazoihusu Halmashauri kwa kutumia
    “Computer” Maalum.
  • Kuboresha mahusiano kati ya Halmashauri, Waandishi wa Habari na Wananchi.

II. TEHAMA

A. Sehemu ya Miundombinu (Hardware and Networks)

  •  Kusimamia Sera, Sheria, Taratibu na miongozo ya Kitengo inayotolewa na serikali juu ya uendeshaji wa Kitengo cha TEHAMA & Uhusiano.
  • Kitengo kimekuwa na utaratibu wa kuratibu na kufanya matengenezo ya awali ya
    Vifaa vyote vya mifumo ya Habari na mawasiliano kila robo ya mwaka wa fedha.  
  • Kuichunguza miundombinu ya TEHAMA mara kwa mara na kuchukua hatua pale inapobidi
  • Kutengeneza mpango wa matengenezo(Preventive na maintenance plan) kwa kila mwaka
    wa fedha.
  • Kutoa taarifa na ushauri wa mara kwa mara kuhusiana na vifaa vya kielectronics
  • Kutoa ushauri wa jinsi ya kuimarisha usalama wa vifaa na miundombinu
    Kutoa ushauri bora na viwango kwa vifaa vya TEHAMA vinanyo nunuliwa, kufungwa na vinanyotumika kulingana na viwango vilivyowekwa na Serikali
  • Kutoa taarifa/ripoti na ushauri kuhusu utekelezaji wa mpango mkakati wa uendeshaji wamatumizi ya TEHAMA
  • Kuhakikisha kuwa miradi unayolenga uendeshaji wa Serikali mtandao inatekelezwa
    ipasvyo.

B. Sehemu ya Mifumo ya Habari (Information Systems)

  • Kusimamia Sera, Sheria, Taratibu na miongozo inayotolewa na serikali juu ya uendeshaji wa Kitengo.
  • Kitengo kimekuwa na utaratibu wa kuwakumbusha mara kwa mara wakuu wa idara na Vitengo na watumishi wengine wote umuhimu wa kutumia vizuizi vya virus(Antivirus) katika Kompyuta zao na kuvinyuwisha mara kwa mara.
  • Utaratibu wa kuwakumbusha na kufanya backup ya taarifa/nyaraka zilizopo kwenye
    Kompyuta.
  • Utaratibu wa kutumia nywira(password) katika kompyuta na vifaa vingine vya kielectronics.
  • Kusimamia na kuratibu kazi za kitaalamu zinazofanywa katika kitengo .
  • Kutoa taarifa/ripoti mbalimbali kuhusu utekelezaji wa mpango wa maboresho ya programu tumizi na mifumo ya Habari(Systems upgrading)
  • Kutoa ushauri na bajeti ya mpango wa usalama wa programu tumizi na mifumo ya Habari Kuweka mikakati ya kuhakikisha kuwa ubora na viwango vya programu tumizi na mifumo ya Habari inafuata miongozo iliyopo.
  • Kuhakikisha kuwa Miradi inayo lenga uendeshaji wa Serikali Mtandao inatekelezeka.

 Lauriano M. Mwalongo                                    Innocent Byarugaba

  Afisa TEHAMA                                               Afisa Habari 





Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHUGUZI , Mhe. JAJI WA RUFAA JACOBS MWAMBEGELE LEO MEI 14,2025 AMETEMBELEA NA KUZUNGUMZA NA WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.

    May 14, 2025
  • ZOEZI LA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI 16 KIBAHA TC

    May 09, 2025
  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa