• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Manispaa ya Kibaha yafungua shule mbili za mchepuo wa kiingereza

Posted on: January 12th, 2026

MANISPAA KIBAHA YAFUNGUA SHULE 2 MPYA ZA MCHEPUO WA KIINGEREZA


Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha mwaka 2026 imeendelea kuimarisha sekta ya elimu kwa kujenga na kufungua shule za awali na msingi za mchepuo wa Kiingereza ili kukidhi mahitaji ya wananchi waliokuwa wakihitaji huduma hiyo.


Miongoni mwa shule hizo ni Shule ya Msingi Mwalimu Nyerere iliyopo Kata ya Sofu, ambayo tayari imekamilika na kuanza kutoa huduma. Shule hiyo imejengwa kwa gharama ya Shilingi 569,264,013.76 kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri, ikiwa na miundombinu yote muhimu ikiwemo madarasa, madawati, vyoo na walimu wa kutosha.


Aidha, Shule ya Msingi Mwambisi iliyopo Kata ya Kongowe bado iko katika hatua za ukamilishaji wa ujenzi. Hadi sasa jumla ya Shilingi 252,897,072.40 tayari zimepelekwa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo, huku Shilingi 151,760,000.00 zikitarajiwa kupelekwa ili kukamilisha ujenzi.


Wananchi wa Manispaa ya Kibaha wamempongeza Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Dkt. Rogers Shemwelekwa, kwa juhudi na mipango madhubuti inayolenga kuboresha upatikanaji wa elimu bora, hususan elimu ya mchepuo wa Kiingereza, bila kuwalazimu wazazi kugharamia ada kubwa katika shule binafsi.


Akizungumza kuhusu mradi huo, Dkt. Shemwelekwa amesema kuwa uanzishwaji wa shule hizo ni sehemu ya mkakati wa Halmashauri wa kuhakikisha watoto wanapata elimu bora katika mazingira rafiki na salama. Amesisitiza kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na wananchi hadi kukamilika kwa Shule ya Msingi Mwambisi ili ianze kutoa huduma kama ilivyopangwa.


Aidha, ametoa wito kwa jamii kushirikiana na Serikali kwa kutoa ushirikiano unaohitajika ili kulinda na kudumisha miundombinu ya shule hizo kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi Halmashauri ya Manispaa Kibaha November 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Manispaa ya Kibaha yafungua shule mbili za mchepuo wa kiingereza

    January 12, 2026
  • Mhe Dkt Mawazo Ginhu Nicas achaguliwa kuwa Mstahiki Meya Manispaa ya Kibaha

    December 04, 2025
  • Mstahiki Meya Manispaa ya Kibaha ataka utendaji uliotukuka

    December 04, 2025
  • Dc Kibaha akabidhi gari jipya Divisheni ya ardhi na Mipango miji, awataka maafisa ardhi kutatua changamoto za wananchi,

    December 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mubashara Baraza la kwanza la Madiwani Manispaa ya Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa