• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Utawala na Rasilimali Watu

Halmashauri ya Mji Kibaha inaundwa na Baraza lenye waheshimiwa madiwani 21, watano (5) ni wa viti maalumu na 14 ni wa kuchaguliwa. Pia Halmashauri ina

waheshimiwa wabunge wawili wanao ingia kwenye vikao kwa nyazifa zao. Baraza  la madiwani lina kamati za kudumu tano (5) ambazo ni Kamati ya Fedha na

Utawala,Kamati ya Mipango Miji, Kamati ya Huduma za Jamii, Kamati ya Maadili na Kamati ya Kudhibiti UKIMWI. Kuna tarafa mbili ambazo ni Kongowe na Kibaha.

Katika utendaji wakazi za kila siku Halmashauri inaundwa na idara 13 ambazo ni Maendeleo ya Jamii,Fedha na Biashara , Utawala na Utumishi, Mipango na Takwimu,

Elimu Msingi,Elimu Sekondari, Maji, Ujenzi, Afya, Usafi na Mazingira, Kilimo na  Ushirika, Mifugo na Uvuvi.

Pia kuna vitengo Sita ambavyo ni Kitengo cha Ugavi, Sheria, Ukaguzi wa Ndani, Uchaguzi , kitengo cha Nyuki,na kitengo cha TEHAMA Habari na Mawasiliano.

Kuna kata kumi na nne (14) na mitaa sabini na tatu (73).

Majukumu ya Idara:

  • Idara inamajukumu kama ifuatavyo;
  • Kuajiri kwa kuomba vibali vya ajira utumishi makao makuu.
  • Kupandisha  vyeo watumishi .
  • Kuthibitisha    watumishi.
  • Kushughulikia  nidhamu za watumishi.
  • Kusimamia na kuhakikisha mikutano yote ya kisheri na kikanuni inafanyika
  • kushughulikia mafunzo ya kujengea uwezo watumishi, waheshimiwa madiwani na wenyeviti wa serikali za mitaa.
  • Kutekeleza mazoezi ya kitaifa yanayo tolewa.
  • Kusimamia  ulinzi na usalama wa mali zote za halmashauri.
  • kwa mwaka wa fedha 2015/2016 watumishi 642 Walipandishwa vyeo ikiwa ni kutoka  idara zote na vitengo vilinyopo kwa kufuata stahiki za mtumishi.

Watamishi 36 walithibitishwa kwazini na katika masuara ya kinidhamu watumishi wanne (4) wamefukuzwa kazi kwa makosa ya utoro  na watumishi 21 wameondolewa kwenye

 mfumo wa malipo ya mshahara na taratibu za kinidhamu zinaendelea kwenye mamlaka yao ya  kinidhamu ambayo ni TSC.

Kuanzia  mwezi wa tatu 2016 idara imetekeleza zoezi la uhakiki wa watumishi hewa pamoja na uhakiki wa vyeti vya watumishi na sasa bado tunaendelea na zoezi la

uhakiki kila mwezi kabla ya kulipa mishahara. Pia idara kwa kutumia mfuko wa ULGSP na mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2015/2016 yametolewa mafunzo kwa waheshiwa madiwani kuhusu utwala bola, wenyeviti wa mitaa kuhusu uongozi ,kukusanya kodi za majengo pamoja na utunzaji wa mazingira na usafi,watumishi na wakuu wa idara na vitengo nao walipata mafunzo

mbalimbali.  

Mkuu wa Idara: GEORGE P. MBOGO











Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHUGUZI , Mhe. JAJI WA RUFAA JACOBS MWAMBEGELE LEO MEI 14,2025 AMETEMBELEA NA KUZUNGUMZA NA WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.

    May 14, 2025
  • ZOEZI LA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI 16 KIBAHA TC

    May 09, 2025
  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa