• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Fedha na Biashara

KAZI ZA AFISA BIASHARA WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA

Ili kufanikishwa mapinduzi ya Kiuchumi, Maafisa Biashara wanatakiwa kutekeleza majukumu kama yalivyoainishwa kwenye mwongozo Na CFB/173/355/01 wa tarehe 06/06/2011 kutoka WIZARA YA VIWANDA NA TAMISEMI kama ifuatayo:

  • Kuratibu utekelezaji wa Sera, Sheria, na Kanuni na taratibu za Sekta za Viwanda, Biashara na Masoko katika  Mamlaka ya serikali za Mitaa;
  • Kutoa Elimu ya ujasiriamali kwa  wafanyabiashara wadogo walioko katika sekta binafsi katika eneo lililo  chini ya mamlaka .
  • Kuwa kiungo na wizara kupokea taarifa za sera ,Seria na mikakati ya Wizara na kuzisambaza kwa wadau mabalimbali katika mamlaka za Serikali za Mitaa;
  • Kupokea ,kuchambua na kuunganisha taarifa za usambazaji katika sekta ya viwanda, Biashara na Masoko na kutoa taarifa OWM - TAMISEMI,Wizara ya Viwanda na Biashara na kwenye Sekretariati za Mikoa na kushauri ipasavyo;
  • Kushauri na kuratibu shughuli za usajili wa Shughuli za Biashara katika mamlaka za Serikali za Mitaa (Business Activities Registration) kwa mujibu wa sheria.
  • Kupendekeza namna ya kuboresha mazingira wezeshi ya biashara kwa madhumuni ya kurahisisha taratibu za kuanzisha biashara nchini ;
  • Kushauri namna ya kuikuza Sekta Binafsi kwa lengo la kuifanya ya ushindani;
  • kuhamisha matumizi ya bidhaa ya Tanzania - (Buy Tanzanian Building Tanzania);
  • Kuwasiliana na Wizara/Taasisi na mashirika yanayosimamia Sheria /kanuni za kufanya biashara ili kupata takwimu kwa ajili ya kutathimi mwenendo wa biashara nchini;
  • Kuziunganisha Taasisi zilizo chini wizara na mamlaka za Serikali za mitaa (Mjiji,Manispaa, Mji  na Halmashauri za wilaya) kwa lengo kufanikisha utekelezaji wa majukumu ya Taasisi hizo;
  • Kutoa ushauri juu ya mifumo ya kuwakinga wakulima na madhara ya mabadilikoya bei (Commodity Price Risk Management) kama vile wa Stakabadhi Ghalani na kuhakikisha  unapanuliwa kwa mazao yanazalishwa na wakulima katika wilaya na mkoa ili kuinua kinua kipato cha wakulima .
  • kutoa ushauri juu ya dhana ya wilaya moja zao moja (one village,one product concept) kulingana na fursa zilizopo kwa kuzingatia  (comparative and competitive advatage);
  • Kuthamini mwenendo wa biashara kwa kuangalia hali ya masoko ,bidhaa zinauzwa katika masoko ,bidhaa zinauzwa  katika soko la ndani na nje ya nchi na kuandaa chati ya kuonyesha  hali ya biashara kwa vipindi vya robo nusu na mwaka ;
  • Kutathimini mwenendo wa uzalishaji na biashara katika maeneo huru ya biashara (EPZ)na kushauri ipasavyo;
  • Kuanisha bidhaa zinazoweza kuuzwa nje ya nchi (Export Potential ) na kutoa taarifa na ushauri kwa wadau ;
  • Kufuatilia mwenendo wa uzalishaji katika viwanda na mauzo yake katika soko la ndani - Mikoa na wilaya  mbalimbali ;
  • kuratibu maendeleo ya biashara ndogo , kubwa sekta isiyo  rasmi na kutoa taarifa OWM- TAMISEMI, Mikoa na Wizara ya Viwanda na Biashara;
  • Kutathamini na kutoa ushauri kuhusu ubora wa huduma za viwanda biashara na Masoko zitolewazo na makampuni mabaalimbali;
  • Kukusanya na kuchambua takwimu za mahitaji na usambazaji wa bidhaa nchini ;
  • Kuratibu uwekezaji wa mikakati ya biashara kati ya nchi za Afrika Mashariki na Jumuiya  nyingine ambazo sisi ni wanachama kama vile SADC;
  • Kutoa mapendekezo ya kuboresha Sera za Sekta za Viwanda , Biashara na Masoko katika ngazi ya mamlaka za serikali za Mitaa na
  • Kuratibu mikutatano ya Kisekta kwa kushirikiana na Wizara , OWM- TAMISEMI  na Mikoa.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHUGUZI , Mhe. JAJI WA RUFAA JACOBS MWAMBEGELE LEO MEI 14,2025 AMETEMBELEA NA KUZUNGUMZA NA WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.

    May 14, 2025
  • ZOEZI LA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI 16 KIBAHA TC

    May 09, 2025
  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa