• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Dc Kibaha afungua mafunzo ya Madiwani yanayotolewa na Chuo Cha Serikali za Mitaa Hombolo

Posted on: January 14th, 2026

"MKUU WA WILAYA YA KIBAHA AFUNGUA RASMI MAFUNZO YA SIKU TATU KWA MADIWANI WA PWANI


Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa kushirikiana na Chuo Cha serikali za Mitaa Hombolo (LGTI) inaendesha mafunzo ya siku tatu kwa Waheshimiwa Madiwani kutoka wilaya tatu za Mkoa wa Pwani ambazo ni Kibaha, Rufiji na Bagamoyo, kwa lengo la kuwajengea uwezo katika utekelezaji wa majukumu yao ya udiwani.


Mafunzo hayo yanafanyika katika Ukumbi wa Destiny, Kwa Mathias, Manispaa ya Kibaha, yakilenga kuwajengea madiwani uwezo katika masuala ya uongozi, usimamizi wa rasilimali watu pamoja na utawala bora.


Akifungua rasmi mafunzo hayo, Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Mheshimiwa Nickson Simon, amewataka madiwani kushiriki mafunzo hayo kwa umakini na kuyatumia kama fursa ya kuongeza maarifa yatakayowasaidia kuwahudumia wananchi kwa ufanisi zaidi.


Mheshimiwa Simon amesisitiza umuhimu wa matumizi ya lugha yenye hekima, maadili na busara katika vikao na maamuzi ya kiuongozi, akieleza kuwa chuki, hasira na wivu havijengi bali huvunja mshikamano na kuchelewesha maendeleo ya jamii.


Aidha, amebainisha kuwa mabadiliko ya kweli katika jamii yanahitaji viongozi kuwa na mawasiliano mazuri na wananchi wao, sambamba na kuwa tayari kujifunza kupitia uzoefu wa wengine na mazingira tofauti.


Katika hatua nyingine, Mkuu wa Wilaya amewataka madiwani kuwa tayari kupokea ukosoaji na kutambua kuwa ukosoaji ni sehemu ya kuboresha utendaji kazi, siyo shambulio binafsi.


“Wakati wa kutoa hoja au kukosoa, hakikisheni mnakosoa mawazo au utendaji na siyo kumshambulia mtu binafsi. Ni muhimu kila mmoja kutunza utu wa mwenzake,” amesisitiza Mheshimiwa Simon.


Vilevile, amewahimiza madiwani kufanya kazi kwa mshikamano na umoja, akieleza kuwa umoja wao ndio msingi wa kuleta maendeleo chanya kwa wananchi wanaowawakilisha. Amehitimisha kwa kutoa wito wa kuweka pembeni tofauti binafsi na kushirikiana kwa maslahi mapana ya umma.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi Halmashauri ya Manispaa Kibaha November 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Dc Kibaha afungua mafunzo ya Madiwani yanayotolewa na Chuo Cha Serikali za Mitaa Hombolo

    January 14, 2026
  • Manispaa ya Kibaha yafungua shule mbili za mchepuo wa kiingereza

    January 12, 2026
  • Mhe Dkt Mawazo Ginhu Nicas achaguliwa kuwa Mstahiki Meya Manispaa ya Kibaha

    December 04, 2025
  • Mstahiki Meya Manispaa ya Kibaha ataka utendaji uliotukuka

    December 04, 2025
  • Tazama Zote

Video

TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VILIVYOPIMWA MANISPAA YA KIBAHA
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa