• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DC-KIBAHA ACHARUKA WAFANYABIASHARA KUUZA CHAKULA KWENYE MAZINGIRA MACHAFU

Posted on: September 20th, 2023

Na Byarugaba Innocent,Kibaha

Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe.Nickson Simon John amekemea vikali suala la wafanyabishara kuuza vyakula hasa vilivyopikwa kwenye Mazingira machafu alipowaongoza wananchi wa Kibaha kufanya zoezi la maadhimisho ya usafishaji mwishoni mwa wiki kwenye Soko la mnarani lililopo kwenye Halmashauri ya Mji Kibaha.

Akiwa kwenye harakati za kufyeka nyasi kwenye Soko hilo,Mhe.Simon alibaini mtaro mchafu na harufu Kali uliokuwa ukitiririsha Maji kutoka kwenye Banda la Mama na Baba lishe hali iliyomfanya kukutana na watoa huduma hao ili kujua sababu ili hali wakitambua kuwa kufanya biashara kwenye Mazingira machafu ni kuhatarisha afya za walaji

Mkuu wa Kitengo cha usimamizi wa taka na usafi wa Mazingira Ali Hatibu amemweleza  Mhe.Simon kuwa pamoja na kutoa Elimu ya usafishaji na uchambuzi wa taka ngumu na Maji kwa wafanyabiashara hao,bado utekelezaji wake umegonga mwamba

Mwenyekiti wa Mama na Baba lishe Saida Hassan amekiri kuwepo kwa changamoto ya Uchafuzi wa Mazingira kwenye eneo lao na kuahidi kuwa Sasa wanakwenda kujiwekea utaratibu utakaomwondoa mfanyabiashara yeyote ambaye hatakuwa na utaratibu wa kufanya usafi na kutunza taka kwenye vyombo maalum kabla ya kusisafirisha kwenda dampo

Mhe.Simon ametoa rai kwa wafanyabiashara wote ndani ya Halmashauri ya Mji Kibaha kuhakikisha maeneo yao ya kufanyia biashara ni Safi ili kulinda afya za walaji hasa kipindi hiki kinachotabiriwa kuwa na Mvua za Elnino.

"Mkurugenzi boresheni Sheria ndogondogo hasa faini za ukusanyaji taka,uzoaji,ulipiaji na upelekaji dampo ili kuendana na wakati wa Sasa na kuimarisha misingi ya usafishaji Mazingira" amesema Simon na kuongeza

Mamia ya Wananchi wakiwemo Makada wa Chama cha Mapinduzi, Vyama vya Upinzani,Wakuu wa Idara na Vitengo wamejitokeza kwa wingi kuungana na wenzao Duniani kuadhimisha siku ya usafishaji ambayo huadhimishwa kila Septemba,16.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa