• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

RC- PWANI ATOA RAI UDHIBITI VYANZO VYA MAJI KWA WANANCHI

Posted on: September 16th, 2022

Na Byarugaba Innocent,Pwani


Mkuu wa Mkoa wa Pwani  Abubakari Kunenge ameagiza kusitishwa kwa shughuli zote zinazohukumu vyanzo vya maji kwenye mto Ruvu pamoja na kudhibiti uvamizi wa Mto Ruvu.

Amesema kuwa shughuli zote zinazofanywa kwenye vyanzo vya Mto Ruvu kinyume na sheria zinaathiri upatikanaji wa maji kwa wananchi wa Mikoa ya  Pwani na Dar.

 Kunenge pia ameeleza kuwa kulingana na utabiri wa hali ya hewa uliotolewa hivi karibuni na Mamlaka ya hali ya hewa nchini kwa kipindi hiki nchi imetabiriwa  kupata mvua za chini ya matarajio hivyo wananchi watumie maji kwa uangalifu na waweke akiba ya maji ya muda yatakayotumika muda mrefu.

 Kunenge ametoa wito huo wakati wa mkutano na waandishi wa habari wa kuelezea uharibifu wa vyanzo vya maji unaofanywa na wakulima na wafugaji kwenye Mto Ruvu wanaofanya shughuli bila kuzingatia taratibu zinatakiwa kisheria

"Nitoe rai kwa  wananchi wa Mikoa ya Pwani na Dar es Salaam kuanza kutumia maji kwa uangalifu kwa kuacha kutumia maji kumwagilia bustani na kufanya shughuli za kilimo," amesema Kunenge.  

Aidha, amefafanua kuwa hii ni tahadhari ya awali kwa wananchi wote kuhusu hali ya upatikanaji wa maji, kwa sasa bado hali ya upatikanaji wa maji iko vizuri kwenye maeneo yote.

"Lakini pia tunachukua tahadhari hizi za awali ili kuepuka athari zilizotokea mwaka jana za upungufu wa maji zilizosababishwa na shughuli za wakulima na wafugaji kwenye vyanzo vya maji," ameongeza.  

Wakati huohuo  Kunenge ameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam- DAWASA kwa kushirikiana na Bonde la Wami Ruvu katika jitihada za kudhibiti shughuli zinazofanywa na wakulima na wafugaji kwenye chanzo cha Mto Ruvu ambao ndio tegemeo la chanzo cha Maji katika Jiji la Kibiashara la Dar-es-Salaam na Pwani.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • MHE.NDOMBA AZINDUA GARI MPYA AINA YA LANDCRUSER ILIYONUNULIWA KWA MAPATO YA NDANI

    November 21, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa