KITENGO CHA UCHAGUZI NA UTAWALA BORA
Majukumu ya Kitengo
- Kuratibu na kusimamia na kusimamia shughuli zote za Uchaguzi.
- Kufuatilia na kuainisha nafasi wazi za viongozi wa kuchaguliwa na kusimamia ujazwaji kwa kufanya Uchaguzi mdogo kwa mujibu wa sharia.
- Kiungo kati ya Msimamizi wa Jimbo la uchaguzi Uchaguzi na viongozi wa vyama vya siasa juu Uchaguzi.
- Kutoa mafunzo, maelekezo na miongozo mbalimbali ya Utawala bora kwa viongozi wa kuchaguliwa, wananchi na watumishi wa umma.
- Kuratibu usajili wa wakazi kwenye Rejesta za wakazi katika mitaa.
- Kuratibu na kusimamia ufanyikaji wa vikao na mikutano ili kukuza na kuimarisha demokrasia na misingi ya utawala bora.
- Kuratibu mchakato wa maombi mapya ya usajili wa Kata na Mitaa mipya.
- Kupokea na kusajili malalamiko, kero,maoni kupitia dawati la huduma kwa wateja,kuyachambua na kuyawasiliosha kwenye idara/kitengo husika na kwenye kikao cha menejimenti (CMT) kwa hatua za utekelezaji.
- Kiungo kati ya Msimamizi wa Jimbo la Uchaguzi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
- Msimamizi mkuu wa shughuli zote za kitengo cha Uchaguzi,Utawala bora na Huduma kwa Wateja.
Saidi Mshamu Kayangu
KAIMU AFISA UCHAGUZI NA UTAWALA BORA
HALMASHAURI YA MJI KIBAHA
Kibaha Town Council
Anuani ya Posta: P.0.Box 30112
Simu: 023 240 2938
Simu ya Kiganjani: Mkurugenz0715390421
Barua Pepe: td.kibaha@pwani.go.tz & td@kibahatc.go.tz. SIMU: Afisa Mipango Miji: 0754999923 & Afisa Ardhi: 0713957639
Haki Zote Zimahifadhiwa