• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

192 HAWAJARIPOTI KIDATO CHA TANO KIBAHA

Posted on: September 19th, 2023

Na Byarugaba Innocent,Kibaha

Jumla ya Wanafunzi 192 wakiwemo 44 wa shule ya Sekondari Kibaha Wavulana kati ya 791 wanaonza safari ya miaka miwili ya kidato cha tano na sita hawajaripoti kwenye shule za Serikali za Halmashauri ya Mji Kibaha.

Afisa Elimu taaluma Sekondari wa Edward Jidamva amethibitisha kuwa mpaka Septemba 14,2023 takwimu zinaonesha ni wanafunzi 599 tu wameripoti kuanza masomo na wanafunzi 192 kati yao wanasichana 42 na Wavulana 150  hawajulikani

"...Zipo sababu lukuki zinazofanya wanafunzi wachelewe na pengine kutoripoti kwenye shule zetu ikiwemo kwenda shule binafsi,kujiunga na Vyuo vya kati na wengine kujiunga na majeshi " amesema Jidamva_

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Protasi Dibogo ametoa wito kwa wazazi na walezi kuziamini shule za Serikali kutokana na uwekezaji mkubwa uliwekwa na Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kujenga miundombinu bora ya Elimu ikiwemo ujenzi wa Maabara za Sayansi,Maktaba,Madarasa,Majengo ya Utawala,Mabweni sanjali na Elimu bure ili kuwafanya watoto kufurahia masomo yao

Rosemary Msasi,Afisa Elimu Sekondari wa Kibaha Mji ametanabaisha kuwa kando ya kutamatisha tarehe ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha tano tangu tarehe 31 Agosti,2023 bado wanawapokea hivyo ametoa rai kwa wazazi na walezi kutumia fursa hii kuwaleta wanafunzi ili wasichelewe masomo zaidi

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Waganga wakuu Tanzania wamtunuku Rais Samia Suluhu Hassan Tuzo, Dkt Mpango atoa maagizo.

    July 12, 2025
  • Wananchi Manspaa ya Kibaha kunufaika na Huduma Bora, baada ya mji kupandishwa hadhi ya kuwa manspaa

    July 12, 2025
  • Mkurugenzi Manspaa ya Kibaha Dkt Rogers Shemwelekwa awataka Wananchi kuchangamkia fursa za kibiashara Manspaa ya Kibaha

    July 10, 2025
  • WATENDAJI wa Kata Manspaa ya Kibaha watembelea Halmashauri ya Mji Tunduma

    July 09, 2025
  • Tazama Zote

Video

Watendaji wa Kata Manspaa ya Kibaha waibua mazito mafunzo mbeya
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa