• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

BILIONI 1.8 KUNG'ARISHA MJI WA KIBAHA KWA LAMI.

Posted on: September 20th, 2023

Na Byarugaba Innocent,Kibaha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan ameendelea na Kasi yake ya kuimarisha miundombinu ya barabara na  jumla ya Shilingi 1,887,001,200 zinajenga barabara ya lami Picha ya Ndege Bokotimiza kupitia kata ya Sofu

Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijiji na Mjini (TARURA) Kibaha Mhandisi Samwel Ndoveni amethibitisha kuwa fedha hizo zinatoka kwenye kapu la tozo ya  Mafuta ambapo kipande cha awali chenye urefu wa 0.7 Kilometa chenye thamani ya Shilingi milioni 943,500,600 kimefikia asilimia 70 ya ujenzi.

Aidha,Mhandisi Ndoveni amesema kuwa Mhe.Rais Dkt.Samia ameidhinisha kipande kingine chenye urefu wa 0.7 Kilometa kwa gharama ya Shilingi 943,500,600 kujengwa ili kufikisha 1.4 Kilometa ambapo kandarasi ya ujenzi itasainiwa muda wowote  ili kufikia mwanzo mwa 2024 kukamilisha vipande vyote viwili

Mhe.Mussa Ndomba ni Diwani wa Kata ya Sofu na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha amempongeza Mhe.Dkt.Samia na Serikali yake kwa kuendelea kuboresha miundombinu ya barabara za Kibaha na kutoa rai kwa wananchi kuzitunza ili zidumu muda mrefu

Kandarasi ya ujenzi inafanywa na Kampuni ya M/S The Globallink General Contractors Ltd kwa miezi Saba kuanzia Machi 3,2023 tayari imeshakamilisha Makalavati yenye kipecho cha mm.1500 yenye urefu wa Mita 12,Makalavati yenye Kipenyo cha mm.1200 yenye urefu wa Mita 22,Makalavati yenye Kipenyo cha mm 900 yenye urefu wa Mita 48 na Makalavati ya Kipenyo cha mm 600 yenye jumla ya Kipenyo cha Mita 38 pamoja na ujenzi wa mitaro pembezoni mwa Barabara

"Mikakati ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwenye sekta ya barabara ni kuendeleza miundombinu ya usafiri wa uhakika ili kusaidia Maendeleo ya kijamii na kiuchumi nchini"...amesema Protas Dibogo Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • MHE.NDOMBA AZINDUA GARI MPYA AINA YA LANDCRUSER ILIYONUNULIWA KWA MAPATO YA NDANI

    November 21, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa