• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DC-KIBAHA AANDAA SAMIA SULUHU CUP, YAFIKIA HATUA YA NUSU FAINALI

Posted on: August 15th, 2022

Na.Byarugaba Innocent, Kibaha

Jumla ya timu nne kutoka kwenye halmashauri mbili za Wilaya ya Kibaha zimetinga hatua ya nusu fainali za mashindano ya Kombe la Samia yanayoendelea kwenye Viwanja mbalimbali yakilenga kuhamasisha wananchi kujiandaa kuhesabiwa kwenye zoezi la Sensa ya watu na Makazi linalotarajia kufanyika Agosti 23,2022

Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe.Sara Msafiri amesema mashindano yameshirikisha jumla ya timu 16 kutoka kwenye kata 28 za Wilaya ya Kibaha huku yakisimamiwa na Chama cha Mpira wa Miguu-KIBAFA na yanaratibiwa kwa karibu na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na kwamba mpaka sasa yanakwenda vizuri kwani hakuna malalamiko yaliyojitokeza toka kwa timu Shiriki.

Mhe.Msafiri amewashukuru wadhamini wa mashindano hususan kampuni ya mafuta ya Afroil kama mdhamini Mkuu na mdhamini mwenza kampuni ya Tiper kwa kufanikisha kwani jumla ya jumla ya mipira 20, jezi jozi 13, Maji na juice zinazoendelea kutumiwa na wachezaji kwenye Michezo zimewezeshwa na wao

Aidha,Msafiri ameeleza kuwa mshindi wa mashindano hayo atapata fursa ya kwenda Ikulu kumkabidhi Kombe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kwa upande wake,mwakilishi wa Kampuni ya Afroil Abdul Karim Atiki ambao ndio wadhamini Wakuu wa mashindano hayo ametoa rai  kwa makampuni mengine kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya Sita kwenye kazi za Kijamii hasa wakati huu wa kuhamasisha ushiriki w sensa ili kudhamini Michezo mingine kwani kufanya hivyo ni kurudisha shukurani kwa jamii,kuwaondoa Vijana vijiweni na kuzalisha wachezaji kama walivyoanza akina Mbwana Samatta ambao  leo wanalipwa fedha nyingi lakini wametokea kwenye Michezo kama hii.

Katibu wa chama cha Mpira wa Miguu-KIBAFA Daudi Mhina amemshukuru Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya kwa kuanzisha mashindano hayo na kumtakia kheri ya mafanikio kwenye kuendelea na zoezi kuwahamasisha Wananchi wa Tanzania kwenye ushiriki wa Sensa itakafanyika Agosti 23,2022


Mashindano hayo yalizinduliwa rasmi Agosti 9 na yanatarajiwa kutamatishwa Agosti 21,2022

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • MHE.NDOMBA AZINDUA GARI MPYA AINA YA LANDCRUSER ILIYONUNULIWA KWA MAPATO YA NDANI

    November 21, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa