• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DC,WAHESHIMIWA MADIWANI KIBAHA WANOGESHA NANENANE KANDA YA MASHARIKI

Posted on: August 8th, 2022

Na.Byarugaba Innocent, Morogoro

Ikiwa ni siku ya hitimisho ya Maonesho ya nanenane Mwaka 2022 yenye kauli mbiu isemayo Agenda 10/ 30 Kilimo ni biashara; jiandae kuhesabiwa kwa Mipango bora ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe.Sara Msafiri na Waheshimiwa Madiwani wamefika kwenye banda la Halmashauri ya Mji Kibaha kujionea namna wakulima na wafugaji wanavyofanya shughuli zao ndani ya Wilaya.

Aidha,wamepata Elimu ya Kilimo cha Mjini,Ufugaji wa Mifugo pamoja na Samaki kwa kutumia teknolojia   zinazoendana na Dunia ya leo.

Mkuu wa Wilaya Mhe.Sara Msafiri ameipongeza halmashauri ya Mji Kibaha kwa kutimiza takwa la  kuwawezesha wajasiliamali kupitia asilimia 10 ya Mapato ya ndani ambao  wanashiriki kwenye Maonesho wakiwa na bidhaa bora kabisa zinazotambulika kimataifa baada ya kutambuliwa Shirika la viwango nchini-TBS na kuwekewa msimbomilia.

Aidha, Mwenyekiti wa halmashauri ya Mji Kibaha Mhe.Mussa Ndomba pamoja na Mwenyekiti wa kamati ya huduma za jamii Mbegu Kambi Legeza  wamefurahishwa na maandalizi pamoja na Maonesho yenyewe na kutoa rai kwa wananachi hususan wa Kibaha Mjini kuwa na desturi na kutembelea Maonesho hayo kwani yanaweza kuwaongezea maarifa mapya kwenye Kilimo na Ufugaji wa tija.

Wengine waliofika kwenye mahitimisho ya nanenane leo ni Katibu tawala wa Wilaya ya Kibaha Sozi Ngate, Mkurugenzi wa Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde, Wakuu wa idara pamoja na watumishi.

Maonesho ya 29 ya nanenane kanda ya Mashariki Mwaka 2022 yalionza rasmi Agosti 31,2022 yanatamatishwa leo na Waziri wa nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,Bunge na uratibu Mhe.George Simbachawene

Matangazo

  • Walioteuliwa kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 October 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Manispaa ya Kibaha Yatoa Huduma za kiafya na kuhamasisha mazoezi Kwa Wananchi

    October 25, 2025
  • Vikundi vya Jogging Manispaa ya Kibaha vyakimbia mbio fupi na kufanya usafi lengo kuhamasisha Wananchi kushiriki kikamilifu Uchaguzi Mkuu, usafi wa mazingira

    October 18, 2025
  • Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kibaha mjini awahamasisha Wananchi kupiga kura.

    October 16, 2025
  • Heri ya siku ya Nyerere

    October 14, 2025
  • Tazama Zote

Video

Matangazo Mubashara Hafla ya Utiaji Saini mikataba ya Soko la Mnarani na miundombinu ya Barabara
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa