• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

Posted on: June 17th, 2025

HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025.


Halmashauri ya Mji kibaha limevunja Baraza Rasmi leo,Juni 17,2025 na kushuhudiwa  na viongozi mbalimbali akiwemo Katibu wa Wazazi wa Wilaya kibaha , Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mh, Nickson Saimon Pamoja na Wakuu wa Idara wa Halmashauri.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Musa Ndomba akizungumza katika kikao hicho amesema kuwa Kibaha Mjini imepata mafanikio makubwa yaliyopelekea Kibaha kuwa na Maendeleo.


Ndomba ,amesema kuwa katika kipindi cha miaka mitano tangu 2020 hadi 2025 Kibaha Mjini cha madiwani hao wamefanikiwa kuongeza makusanyo ya mapato ya ndani  kutoka Sh.bilioni 3.8 ya Mwaka 2020 mpaka kufikia bilioni 14 ya Mwaka 2024.


Ameongeza kuwa,katika kipindi cha mwaka 2024 /2025 mapato hayo yameongezeka zaidi ambapo mpaka sasa tayari wamekusanya kiasi cha Sh.bilioni 20 sawa na asilimia 200.


Aidha,Ndomba amesema kuwa kupitia mapato hayo Halmashauri kupitia Baraza la Madiwani wamefanikiwa kujenga Shule za Msingi 11 ambapo Kati ya hizo Shule tatu ni za mchepuo wa Kiingereza


Akizungumza katika kikao hicho Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Dkt . Shemwelekwa amesema kukamilika kwa miradi hiyo pia kumetokana na mchango mkubwa wa Rais Dkt .Samia Suluhu Hassan ambaye amekuwa akitoa pesa nyingi kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo.


"Kipekee nawashukuru madiwani wote, Mbunge na Mkuu wa Wilaya kwa ushirikiano mkubwa uliokuwepo lakini shukrani hizi ziende kwa Rais wetu Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha nyingi ya kutekeleza miradi ya maendeleo,"amesema Shemwelekwa


Aidha ,Dkt.Shemwelekwa amewaomba Madiwani hao kwenda kuyasemea mafanikio yaliyopatikana katika kipindi chao kwa Wananchi ili kusudi waweze kupata nafasi ya kurudi katika uchaguzi mkuu.


Mbunge wa Jimbo la Kibaha Silvestry Koka ameungana na madiwani ,wakuu wa idara na watendaji wa Halmashauri hiyo kwa kazi kubwa na nzuri iliyofanyika ndani ya miaka mitano.


Koka,amewaomba watendaji na Wakuu wa idara kuendelea kushirikiana kikamilifu ili kusudi waweze kufanya kazi za kuhakikisha Halmashauri inaendelea Kusimama katika suala nzima la maendeleo .


Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa