• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA MJI KIBAHA YAFANYA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI

Posted on: May 26th, 2023


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhe. Mussa Ndomba ameendesha Mkutano wa baraza la Madiwani robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2022/2023 ambao umefanyika siku ya Alhamisi tarehe 24 Mei, 2023 kujadili utekelezaji wa miradi ya Maendeleo na utoaji wa huduma kwa wananchi kwa kipindi cha miezi mitatu Januari-Machi

Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhe. Selina Wilson Msenga amesema kuwa mpaka kufikia Machi, Halmashauri ya Mji Kibaha imekusanya Mapato ya ndani kiasi shilingi 3,536,459,030.00 sawa na asilimia 78 kati ya shilingi 5,552,561,120.00 zilizopangwa kukusanywa kwenye makisio ya bajeti ya  mwaka wa fedha 2022/2023.

Aidha, Mhe. Msenga ameeleza kuwa Halmashauri ya Mji Kibaha ilikadiria kukusanya jumla ya shilingi 45,809,511,506.43 kutokana ma mapato ya yatokanayo na ruzuku, mapato ya ndani na washirika wa maendeleo ambapo makusanyo ya kuanzia mwezi Julai 2022 hadi Machi 2023 jumla ya shilingi 29,993,221,804.05 sawa na asilimia 65.5 ya makisio ya Mwaka wa fedha 2022/2023 kimekusanywa

Mhe. Msenga ameeleza kuwa katika kipindi hicho, kiasi cha 26,322,286,642,05 sawa na asilimia 57 kimetumika kutolea huduma kwa wananchi ikiwemo kujenga miundombinu ya afya, elimu, pamoja na ununuzi wa vitendea kazi kwa watumishi

Kwa upande mwingine Mbunge wa jimbo la Kibaha Mjini Mhe. Silvestry Koka ameshiriki Mkutano huo ambapo amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuidhinisha kiasi cha shilingi 1,280,400,000.00 kupitia mradi wa BOOST unatakaotekelezwa na idara ya elimu Msingi kwa kujenga shule mpya na kukarabati miundombinu ya shule kongwe kwenye Halmashauri ya Mji Kibaha

Aidha, Mhe. Koka amesema kuwa katika kuzithmini sekta za Afya na Elimu, fedha ya Mfuko wa Jimbo asilimia 80 huelekezwa kwenye Elimu huku asilimia 20 ikielekezwa kwenye sekta ya afya

Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe. Simon Nickson John ambaye ni Mgeni Mwaliko kwenye Mkutano huo amewawapongeza watendaji wa Halmashauri ya Mji Kibaha wakiongozwa na Mkurugenzi Mhandisi Mshamu Munde kwa ushirikiano na kazi nzuri wanayoifanya ili kufikia Malengo ya serikali ya kutoa huduma stahiki kwa wananchi.

Aidha, ametumia fursa hiyo kuwashukuru kwa dhati namna walivyoshiriki kwenye maandalizi, Mapokezi na kushiriki kikamilifu mwanzo mpaka mwisho wa sherehe za Mbio za Mwenge wa Uhuru uliokimbizwa kwenye halmashauri ya Mji Kibaha tarehe 18 Mei,2023


Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Halmashauri ya Mji Kibaha

25/05/2023

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa