• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UPIMAJI VIWANJA PANGANI

Posted on: October 21st, 2022


Na Byarugaba Innocent,Kibaha.

Ikiwa ni siku chache kabla ya kuanza zoezi la umilikishaji rasmi wa Viwanja kwa wananchi walioingia kimakosa kwenye eneo la Halmashauri ya Mji Kibaha linalounganisha mitaa ya Kidimu, Mkombozi na Lumumba Kata ya Pangani leo Oktoba 21,2022 Kamati ya fedha na Utawala imefika kujionea hali ya utekelezaji wa Mradi.

Kamati hiyo ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Mussa Ndomba imeridhishwa na hali ya utekelezaji kwani tayari wataalam wameshapima Viwanja 12,066 kati ya Viwanja 16,750.

Akitoa taarifa Kaimu Mkuu wa Idara ya Mipangomiji na Ardhi Denis Festo amesema Kidimu vimepimwa Viwanja 4450,Mkombozi 6600 huku Lumumba vikipimwa Viwanja 1016 na kazi inaendelea.Aidha,tayari miundombinu ya ipo na inaendelea kuwekwa kwenye Maeneo yaliyosalia.

Katika kutimiza kazi ya  umilikisha kwa kauli moja kamati imetoa rai kwa wananchi kuendelea na utaratibu wa kufika Ofisi za Halmashauri ili kupata gharama halisi ambazo kila mmoja atapaswa kulipia kutokana na Ukubwa wa eneo lake.

"Zoezi hili limeanza wiki mbili zilizopita,ilikuwa liwe limeshakamilika,hata hivyo kamati inaongeza wiki mbili nyingine kwa zoezi hilo baada ya hapo,Viwanja vitawekwa sokoni kuwauzia wananchi wengine wenye uhitaji"

Ikumbukwe kuwa Halmashauri ya Mji Kibaha ilikopeshwa fedha kiasi cha shilingi 1,588,000,000.00 kutoka Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa kupanga,kupima na kumilikisha kwenye mitaa tajwa hapo juu kama mamlaka ya upangaji baada ya kupewa eneo hilo na Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ZOEZI LA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI 16 KIBAHA TC

    May 09, 2025
  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa