• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KIBAHA KUTOA ELIMU YA KIBOBEZI KWA WAJAWAZITO

Posted on: April 4th, 2023

Na Byarugaba Innocent,Kibaha

Halmashauri ya Mji Kibaha kupitia Zahanati ya Mwendapole iliyopo Kata ya Kibaha imeratibu jopo la Wakunga wabobezi wanaotarajia kutoa Elimu kwa wajawazito Alhamisi Aprili 6, 2023 ili kunusuru afya ya Mama na Mtoto wakati na baada ya kujifungua.

Prisca Nyambo ni msimamizi wa huduma za uzazi Kibaha ambaye pia ni Mkunga mbobezi ametaja huduma zitakazotolewa kuwa ni uchunguzi wa kina na Maendeleo ya Ujauzito,Maandalizi ya Kujifungua,Uchunguzi wa  dalili za hatari kwa mjamzito,lishe bora,upimaji wa vipimo mbalimbali pamoja na kutoa ushauri.

Nyambo amesema Zahanati ya Mwendapole imekuwa na wateja wengi wa kujifungua kutokana na huduma bora zinazotolewa kwani takwimu zinaonesha kuwa kati ya wajawazito 140-180 hupokewa kwa Mwezi kuanza huduma za Kliniki.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha amesema nia ya Serikali ni kupunguza ama Kuondoka kabisa vifo kwa wajawazito na watoto hivyo ametoa rai kwa Wakunga wote kuwa karibu na wajawazito na wawe na kanzi data maalum itakayowasaidia kuwafuatilia

Diwani wa Kata ya Kibaha Mhe.Goodluck Manyama ameishukuru Serikali ya Tanzania inayoongozwa na Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kupitia Halmashauri ya Mji Kibaha kwa kufanya zoezi hili na kwamba linakwenda kutoa uhakika wa afya za Watoto watakaozaliwa

Halmashauri ya Mji Kibaha yenye hospitali,Vituo vya afya na Zahanati 25 zinazotoa huduma ya Mama na Mtoto,kwa Mwezi hupokea kati ya akina mama 600-650 wanaofika kujifungua.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • MKUU WA MKOA WA PWANI AIPONGEZA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA KWA KUVUKA MALENGO KWENYE UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 16, 2025
  • MWENYEKITI (UWT) ,MARY CHATANDA ARIDHISHWA NA UJENZI WA HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA

    June 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa