• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

Posted on: April 30th, 2025

KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI MAPATO


HALMASHAURI ya Mji Kibaha chini ya Mkurugenzi wake Dkt.Rogers Shemwelekwa imefanikiwa kupandisha mapato yatokanayo na ushuru  wa huduma (Service Levy)kutoka Sh.milioni 420 mpaka kufikia Sh.bilioni 1.4.


Taarifa ya ukusanyaji wa mapato hayo imetolewa na mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Dkt.Shemwelekwa katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichoketi leo Aprili 29,2025 kikilenga kubainisha mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha mwaka 2020)2025.


Kikao hicho cha aina yake kilichofanyika katika Ukumbi wa Kibaha Shopping Mall licha ya kuhudhuriwa na Madiwani hao lakini pia kiliwashirikisha watumishi mbalimbali wakiwemo Watendaji Kata na walimu.


Akizungumza katika Kikao hicho mkurugenzi huyo amesema kuwa mapato ya ushuru wa huduma za jamii yameongezeka kutokana na kuweka mipango madhubuti ikiwa pamoja na kuunda timu maalum ya ufuatiliaji.


Dkt.Rogers amesema kuwa aliteuliwa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan Machi 9,2024 kuwa mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha na alipofika alikuta ukusanyaji wa mapato  yanayotokana na ushuru wa huduma za jamii( Service Levy) kiasi cha Sh.milioni 420 lakini mpaka sasa mapato hayo yamepanda mpaka kufikia Sh .bilioni 1.4.


Matangazo

  • Tangazo la Kazi Halmashauri ya Manispaa Kibaha November 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Dkt Saguti awataka wazir kufuatilia Afya na Lishe za familia

    March 13, 2026
  • FURSA YA WATENGENEZA MAUDHUI MTANDAONI, BILIONI 2 ZATOLEWA NA SERIKALI KWA VIJANA

    January 29, 2026
  • Shule ya Awali na Msingi Mwambisi Mchepuo wa Kingereza

    February 03, 2026
  • Tangini Sekondari

    February 03, 2026
  • Tazama Zote

Video

Fuatilia Matangazo Mubashara uapisho wa Viongozi Wateule
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa