• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KIBAHA MJI YAPATA HATI SAFI KWA MIAKA 10 MFULULIZO

Posted on: June 17th, 2022

Na Byarugaba Innocent


Halmashauri ya Mji Kibaha imeendelea kufanya vizuri katika matumizi ya fedha za Serikali baada ya kupokea taarifa ya ukaguzi wa hesabu za halmashauri kwa Mwaka wa fedha 2020/2021 kutoka kwa mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Serikali inayoonesha hati Safi.

Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde kwenye kikao cha baraza la Madiwani kilichoketi Tarehe 16/06/2022 kujadili hoja za ukaguzi huku kikihudhuriwa pia na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe.Aboubakar Kunenge.

Kunenge ameipongeza halmashauri kwa kupata hati Safi na kutaka iendane na utoaji wa huduma kwa wananchi.

Aidha,ameongeza kuwa Wakuu wa Idara na vitengo kuwafanya kazi kwa vipaumbele na kujiwekea mikakati ikiwemo kudhibiti uvujaji wa Mapato na kurahisisha ulipaji wa Mapato kwa njia nyepesi

Kunenge ameongeza kuwa Halmashauri ibuni vyanzo vingine vya Mapato ili kupata fedha na kwamba sio mbaya kwa Halmashauri kama taasisi kufikiria kibiashara huku akitoa rai kwa Waheshimiwa Madiwani kujifunza uchumi na masoko kwa ajili ya kupanua wigo wa Mapato

Katika hatua nyingine ametoa maagizo ya kufunga hoja zilizomo kwenye uwezo wa halmashauri kabla ya tarehe 30 Juni 2022,kuwajibishwa kwa aliyesababisha hoja kwa kufuata taratibu za kisheria na kukamilisha kwa miradi inayoendelea.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mussa Ndomba amemshukuru Mkuu wa Mkoa kwa hotuba nzuri na kwamba kazi iliyobaki ni utekelezaji.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa