• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KIBAHA YAADHIMISHA SIKU YA USAFISHAJI KWA KISHINDO

Posted on: September 22nd, 2023

Na Byarugaba Innocent,Kibaha

Jumamosi Septemba 16,2023 Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe.Nickson Simon John amewaongoza mamia ya Wananchi kuadhimisha siku tlya usafishaji kwa  kufanya usafi kwenye Soko la Loliondo kuanzia Saa 12 hadi saa 4 Asubuhi.

Pamoja na Mambo mengine Mhe.Simon ametoa rai kwa wananchi kuwa na utamaduni wa kufanya usafi kwenye Makazi yao pamoja na sehemu za  biashara ili kuimarisha ustawi wa afya zao kwani uchafu na chakula hayaendani

Asumpta Maziku ambaye ni mfanyabiashara wa nguo kwenye Soko hilo amewakumbusha wenzake kujiwekea utaratibu rafiki wa kusafisha Mazingira kwani uwepo wa Mazingira machafu huwakimbiza hata wateja kwa kuhofia kuhatarisha afya zao

Mwenyekiti wa Mama lishe Sauda Hassan amesema kuanzia Sasa Mama lishe wataanza kutekeleza zoezi la usafi kwa vitendo ambapo kila Mama lishe atapaswa kuwa na vyombo maalum vya kuhifadhia taka huku Mkuu wa Wilaya akiwataka wote ambao hawataweza kwenye falsafa ya usafi kuwapisha wengine wanaoweza kuendelea kujitafutia riziki eneo Hilo ambalo limeajiri akina Mama wengi.

"Wasiofanya usafi usafi wataondolewa,ni jambo la kusikitisha Sana,tena la aibu kwa sehemu ya Chakula kuwa chafu.Mama lishe asiyeweza kwenda na kasi ya usafi,atupishe"alisema Mhe.Simon

Aidha,Mhe Simon ametoa wito kwa Mkurugenzi kuhakikisha Sheria ndogondogo zinaimarishwa hasa faini za ukusanyaji taka,uzoaji,ulipiaji na upelekaji dampo ili kuendana na wakati wa Sasa na kuimarisha kwa misingi ya usafishaji Mazingira


Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa