• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA YAENDA SAMBAMBA NA USAFI WA MAZINGIRA -PWANI

Posted on: July 25th, 2022



Na Byarugaba Innocent,Kibaha


Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe.Abubakar Kunenge amewaongoza mamia ya wananchi wa Mkoa huo kufanya usafi wa Mazingira kwenye Kituo cha afya Mkoani kama sehemu ya maadhimisho  kwenye kumbukizi ya siku ya mashujaa inayofanyika kila Mwaka Julai 25.


Aidha, baada ya kukamilisha zoezi hilo aliwaongoza Wananchi kwenda kwenye mnara wa kumbukumbu kwa ajili ya uwekaji wa silaha za jadi zilizotumiwa na mashujaa hao kwenye mapambano dhidi ya wakoloni kwenye harakati za kujikomboa.


Awali dua na sala zilitolewa ambapo Shekhe wa Mkoa wa Pwani Abbasi Mtupa mashujaa hawa waliuawa kwa kutetea nchi na sio mtu na Mali yake hivyo mbele za Mwenyezi Mungu ni mashahidi na amewaombea wafunguliwe milango ya rehema kwani nguvu zao,damu zao,nafasi zao ndizo zilizobakisha amani na utulivu ndani ya Tanzania.


Mwenyekiti wa kamati ya amani Wilaya ya Kibaha Askofu Emmanuel Mhina ametumia fursa hiyo kuziombea familia za mashujaa hao neema mbele za Mungu ili ziendelee kuwa na amani na utulivu mara zote.


Dr.Gabriel Mziwanda ambaye ni Katibu wa Chama cha Kijamii (CCK) ameunga mkono suala la kuadhimisha kumbukizi ya mashujaa hawa wazalendo na kwamba kando ya kuwa yeye ni mpinzani lakini hili ni jambo jema la kupigiwa mfano.


Mwenyekiti wa halmashauri ya Mji Kibaha Mhe.Mussa Ndomba amesema kuwa ni ukweli usiopingika kuwa mashujaa hawa walilitumikia na kulipigania Taifa kizalendo hivyo amani tunayoiona Sasa ni matunda yao na kwamba kuwaenzi ni jambo linalotakiwa kuwa endelevu kama sehemu ya kuhamasisha uzalendo kwenye jamii na Taifa kwa Ujumla


Maadhimisho haya yalitamatishwa na uwekaji wa silaha za jadi ambapo Mhe.Kunenge ameweka Mkuki na Ngao, mshauri wa Mgambo Kanal Erick David Mziray ameweka Sime huku Katibu tawala wa Mkoa Mhandisi Mwanasha Tumbo akiweka shada la Maua.


Aidha, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhe.Mussa Ndomba ameweka Shoka na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe.Sara Msafiri ameweka upinde.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • TIMU YA UKUSANYAJI MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIBAHA YAFANYA ZIARA YA MAFUNZO JIJINI ARUSHA

    July 04, 2025
  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa