• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MAAFISA MAWASILIANO SERIKALINI WAASWA KUTOA TAARIFA KWA WAKATI.

Posted on: September 24th, 2022

Na Byarugaba Innocent, Morogoro


Mafunzo ya siku tatu yaliyokuwa yakifanyika kwenye Ukumbi wa Kingsway Mjini Morogoro yakiwapika maafisa Mawasiliano wa serikali kuhusu kutoa taarifa za mradi wa shule Bora na Miradi mingine ya kimkakati yamefikia tamati Jana tarehe 22 Septemba,2022

Programu ya Shule Bora ni mradi wa Serikali ya Tanzania wa kuboresha Elimu ya Msingi unaofadhiliwa  kwa msaada wa UKaid wa Uingereza huku washirika wa utekelezaji wakiwa ni Cambridge education,Plan International,ADD International,Rescue committee kwa kusaidiana na OR-TAMISEMI kwa pamoja na Wizara ya Elimu ya juu,Sayansi na teknolojia.

Mkurugenzi msaidizi wa Idara ya habari-MAELEZO Rodney Thadeus ameeleza kuwa mafunzo haya yalikuwa yanaongeza maarifa waliyonayo wahudhuriji ametoa rai kwa maafisa hao kuwajibika kwa kuongeza ubunifu na uthubutu wa kutoa taarifa za Maendeleo ikiwemo kupiga picha za utekelezaji kwa namna Serikali inavyotatua changamoto za wananchi wake na kutolea ufafanuzi wa taarifa za upotoshaji zinatolewa na wachache wasioitakia mema nchi yetu

Aidha,Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano  Serikalini OR-TAMISEMI, Angela Msimbila amewapongeza wahudhuriaji wote wa mafunzo hayo ambayo yamewapa mwanga na Chachu ya mabadiliko ya kuandika na kutoa taarifa za miradi yote inayotekelezwa kwenye Maeneo yao ikiwemo shule Bora kwani wakati huu wananchi wanahitaji kuhabarishwa kwa njia tofauti ikiwemo mitandao ya Kijamii ambako Dunia ipo Sasa

Raymond Kanyambo,mratibu wa mafunzo kutoka Cambridge Education amesema kuwa kitendo cha kutamatisha mafunzo ni kiashiria cha kwenda kufanya kazi za kuhabarisha Umma juu ya malengo na dhamira ya mradi hivyo wafadhili wanatarajia kuona taarifa nyingi zitakazohamasisha ushirikiano chanya kwenye utekelezaji kati ya wafadhili,Serikali na jamii ili mradi uwe na tija.

Mradi wa Shule Bora unashirikisha Mikoa tisa nchini kwa lengo la kuinua kiwango cha Elimu ulizinduliwa Mkoani Pwani Aprili 4,2022 na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza Mhe.Vicky Ford.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • MHE.NDOMBA AZINDUA GARI MPYA AINA YA LANDCRUSER ILIYONUNULIWA KWA MAPATO YA NDANI

    November 21, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa