• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MAAMBUKIZI YA VVU-UKIMWI, YAPUNGUA,PWANI.

Posted on: December 2nd, 2022

Na Byarugaba Innocent,Pwani

Kiwango cha maambukizi ya VVU-UKIMWI Mkoani Pwani yameendelea kushuka kutoka 5.9 hadi 5.5 ,ameeleza Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe.Sarah Msafiri wakati wa Maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani inayofanyika kila tarehe mosi,Disemba huku Mkoa wa Pwani ukifanyia kwenye Viwanja vya Mtongani Mlandizi,Kibaha Vijijini.

DC Msafiri aliyekuwa mgeni rasmi akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe.Abubakari Kunenge amebainisha kuwa kiwango hicho kimepungua kati ya Mwaka 2012-2017 ingawa Halmashauri za Kibaha Mjini,Mkuranga na Chalinze zinaendelea kuwa na maambukizi makubwa kutokana na mwingiliano wa watu kutoka maeneo mengine kwa sababu mbalimbali ikiwemo biashara.

Aidha,Msafiri amesema takwimu zinaonesha kuwa kundi la Vijana na wanaume mwamko wa kupima afya ni hafifu hali inayopelekea kugundulika na Maambukizi wakiwa na hali mbaya huku takwimu  zikionesha kuwa kati ya Mwezi Januari na Novemba maambukizi mapya ya Vijana wenye umri kati ya miaka 15-24 yakifikia 1004

Dkt.Sisty Moshi kutoka THPS amesema taasisi hiyo imekuwa ikishirikiana na Mkoa wa Pwani kupambana na janga hili kwa miaka 10 Sasa na kwamba hali ya upimaji imefikia 95 asilimia  huku wanaotumia dawa za kufabaza wakifikia 50,000 sawa na asilimia 98 ambapo kwa Mwaka huu wa fedha 2022/2023  kiasi cha fedha shilingi Bilioni 3.2 kimeshatolewa kwenye Halmashauri kuwezesha mapambano hayo.

Katika hatua nyingine,Halmashauri ya Mji Kibaha imefanya Maadhimisho hayo kwa kuwatembelea watoto 39 kwenye Kituo cha UMRA OPHANAGE CENTRE kilichopo kata ya Pangani na kuwapa misaada ya kibinadamu ikiwemo chakula.

Siwema Cheru, mratibu wa UKIMWI Halmashauri ya Mji Kibaha amesema mahitaji hayo yamegharimu kiasi cha shilingi milioni tatu zilizotokana na Makusanyo ya Mapato ya ndani ya  Halmashauri.

Kaimu Katibu tawala wa Mkoa wa Pwani Rukhia Muwango amewashukuru wadau wote kwa kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali za kupambana na janga hili kwa kuboresha Mazingira ya afya na huduma zake na ametumia fursa hiyo kutoa rai kwa wanaogundulika kutlhidhuria kliniki kupata nasaha na ushauri wa madaktari na kutumia dawa za kufabaza makali bila kukata tamaa.

KAULI MBIU ya Mwaka huu ni;IMARISHA USAWA.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani aongoza kikao kazi, awataka viongozi kuongeza vyanzo vya mapato ya ndani

    July 15, 2025
  • Mnyema Atoa wito Ushirikiano Watumishi

    July 14, 2025
  • Waganga wakuu Tanzania wamtunuku Rais Samia Suluhu Hassan Tuzo, Dkt Mpango atoa maagizo.

    July 12, 2025
  • Wananchi Manspaa ya Kibaha kunufaika na Huduma Bora, baada ya mji kupandishwa hadhi ya kuwa manspaa

    July 12, 2025
  • Tazama Zote

Video

Watendaji wa Kata Manspaa ya Kibaha waibua mazito mafunzo mbeya
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa