• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

**MHE KOKA MOTISHA KWA WALIMU **

Posted on: August 29th, 2023

Na Byarugaba Innocent Kibaha.

Mbunge wa Kibaha Mjini Mhe Silyvestry Francis Koka amekabidhi kiasi cha shilingi milioni 3 kwa walimu wa shule ya Sekondari Koka iliyopo Kata ya Sofu Wilaya ya Kibaha. Fedha hiyo imetolewa ikiwa ni ahadi aliyoitoka  wakati akizindua shule hiyo Aprili, 2023 ili kuwapa motisha walimu. Hiyo si mara ya kwanza kwa Mbunge huyo kutoa motisha shuleni hapo kwani  mwanzoni wa Mwaka huu 2023  Koka alitoa shilingi 500,000/- kwa walimu wa shuleni hapo.

Aliwasilisha  fedha hiyo kwa niaba ya Mhe.Mbunge, Katibu wa Mbunge Method Mselewa amewaambia Viongozi, wazazi,na walimu shuleni hapo kuwa ana imani fedha hiyo itachochea ufundishaji

" Mhe Mbunge anatamani kuona shule hii pamoja na shule nyingine za Kibaha zinafanya vizuri kwenye ufaulu, na kwamba amedhamiria kuhakikisha walimu wanakuwa na mazingira mazuri ili nguvu yao waelekeze kwenye ufundishaji"...  amesema Mselewa


Awali akimkaribisha Katibu wa Mbunge, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Sofu Mhe. Mussa Ndomba Diwani wa Kata ya Sofu amempongeza Mhe Koka kwa namna anavyoisaidia kata hiyo hususan.

 "Mhe Koka ameshafanya mambo mengi hapa, alitoa eneo, akasaidia Ujenzi, ametoa madawati na kaniambia analeta na  Mashine ya kupiga kopi na juzi tu tumemaliza kujenga kitako cha tenki la maji na tenki lipo tayari ameshatoa"


Akitoa shukrani kwa Mbunge, Mkuu wa shule hiyo Mwl Magreth William amesema, siku zote Mhe Koka amekuwa chachu ya ufanisi wa majukumu na uboreshaji wa mazingira ya kujifunza na kujifunzia shuleni hapo. Amemwomba aendelee kusaidia shule hiyo Ili iwe ya mfano wa kuigwa Kibaha.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ZOEZI LA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI 16 KIBAHA TC

    May 09, 2025
  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa