• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

**MHE KOKA MOTISHA KWA WALIMU **

Posted on: August 29th, 2023

Na Byarugaba Innocent Kibaha.

Mbunge wa Kibaha Mjini Mhe Silyvestry Francis Koka amekabidhi kiasi cha shilingi milioni 3 kwa walimu wa shule ya Sekondari Koka iliyopo Kata ya Sofu Wilaya ya Kibaha. Fedha hiyo imetolewa ikiwa ni ahadi aliyoitoka  wakati akizindua shule hiyo Aprili, 2023 ili kuwapa motisha walimu. Hiyo si mara ya kwanza kwa Mbunge huyo kutoa motisha shuleni hapo kwani  mwanzoni wa Mwaka huu 2023  Koka alitoa shilingi 500,000/- kwa walimu wa shuleni hapo.

Aliwasilisha  fedha hiyo kwa niaba ya Mhe.Mbunge, Katibu wa Mbunge Method Mselewa amewaambia Viongozi, wazazi,na walimu shuleni hapo kuwa ana imani fedha hiyo itachochea ufundishaji

" Mhe Mbunge anatamani kuona shule hii pamoja na shule nyingine za Kibaha zinafanya vizuri kwenye ufaulu, na kwamba amedhamiria kuhakikisha walimu wanakuwa na mazingira mazuri ili nguvu yao waelekeze kwenye ufundishaji"...  amesema Mselewa


Awali akimkaribisha Katibu wa Mbunge, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Sofu Mhe. Mussa Ndomba Diwani wa Kata ya Sofu amempongeza Mhe Koka kwa namna anavyoisaidia kata hiyo hususan.

 "Mhe Koka ameshafanya mambo mengi hapa, alitoa eneo, akasaidia Ujenzi, ametoa madawati na kaniambia analeta na  Mashine ya kupiga kopi na juzi tu tumemaliza kujenga kitako cha tenki la maji na tenki lipo tayari ameshatoa"


Akitoa shukrani kwa Mbunge, Mkuu wa shule hiyo Mwl Magreth William amesema, siku zote Mhe Koka amekuwa chachu ya ufanisi wa majukumu na uboreshaji wa mazingira ya kujifunza na kujifunzia shuleni hapo. Amemwomba aendelee kusaidia shule hiyo Ili iwe ya mfano wa kuigwa Kibaha.

Matangazo

  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA HOSPITARI YA WILAYA LULANZI March 22, 2023
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUFANYA KAZI YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 27, 2022
  • KUAHIRISHWA KWA MAFUNZO YA SENSA July 28, 2022
  • HALI YA MAKUSANYO YA HALMASHAURI KWA MIAKA KUMI MFULULIZO KUANZIA 2012-2022 August 05, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ZAIDI YA BILIONI 1.2 KUKAMILISHA MAJENGO YA ELIMU KIBAHA.

    September 22, 2023
  • KIBAHA YAADHIMISHA SIKU YA USAFISHAJI KWA KISHINDO

    September 22, 2023
  • BILIONI 1.8 KUNG'ARISHA MJI WA KIBAHA KWA LAMI.

    September 20, 2023
  • SERIKALI YA SAMIA YAJENGA SHULE ZA SEKONDARI MBILI MPYA-KIBAHA.

    September 20, 2023
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa