• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MWEKEZAJI KUTOKA SAUDI ARABIA AKUSUDIA KUWEKEZA,PWANI

Posted on: August 16th, 2022

Na Byarugaba Innocent, Pwani

 Mwekezaji Alghmlas Abdalah kutoka Reyadh nchini Saudi Arabia akiwa ameongoza na Balozi wa Tanzania nchini humo Mhe.Ali Mwadini amefika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani na kupokelewa na Mwenyeji wao Mhe.Abubakar Kunenge na kufanya mazungumzo ya tija yanayolenga uwekezaji nchini hususan,Mkoa wa Pwani.

Pamoja na Mambo mengine,Mhe.Kunenge amewakaribisha na kutumia wasaa huo hiyo kuwaeleza fursa zilizopo ndani ya Mkoa wa Pwani na kuwa hawajakosea kufikiria kuweza kwani ni Mahali sahihi kwa uwekezaji

Mhe.Kunenge amefafanua kuwa Mkoa una fursa nyingi za uwekezaji kwenye sekta  ya Viwanda, Uvuvi, Kilimo,Utalii na Mifugo

"Mkoa wa huu ni eneo la kimkakati kwa uwekezaji kwani lipo jirani na Jiji kuu la Kibiashara la Dar-es-Salaam nchini Tanzania ambapo pia Kuna bandari ya kusafirishia bidhaa na kuingizia malighafi kutoka ughaibuni" amesema Mhe.Kunenge.

Aidha,Mhe.Kunenge amesema kuwa kuwa uwepo wa reli ya kisasa ya SGR,nishati ya umeme na Maji ya uhakika pamoja na uwepo wa Kongani kubwa ya Viwanda barani Afrika ya Sino Tan Kwala Industrial Park ni kichocheo kingine cha uwekezaji Pwani

Kwa upande wake Mhe.Balozi Ali Mwadini ameeleza kuwa amefika na mwekezaji huyo kuona fursa za kuweke kwenye machinjio za kisasa,unenepeshaji Mifugo,Kilimo cha kisasa,Viwanda vya kutengeneza vifungashio na kuwekeza kwenye sekta ya Utalii.

Mkoa wa Pwani bado una maeneo mengi ya uwekezaji ikiwemo Zegereni Kibaha Mjini,Kwala, Chalinze,Visegese,Chamakweza.Aidha,Kisarawe,Kibiti na Rufiji yapo maeneo yanayofaa kuwekeza.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa