• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MWENYEKITI (UWT) ,MARY CHATANDA ARIDHISHWA NA UJENZI WA HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA

Posted on: June 15th, 2025

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Mary Chatanda, ameelezea kuridhishwa kwake na maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Mji Kibaha. Ziara yake ya kikazi ililenga kukagua Uterekezaji wa Ilani ya Ccm na Hatua zilizopigwa katika kuboresha huduma za Afya kwa wakazi wa Kibaha.


Chatanda alibainisha kuwa hospitali hiyo ina umuhimu mkubwa katika kuboresha upatikanaji wa huduma za Afya, hasa kwa Wanawake na Watoto.


Alipongeza jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha ujenzi unakamilika kwa wakati na kwa viwango vinavyostahili.


Hospitali ya Halmashauri ya Mji kibaha Imesaidia kuboresha Huduma ya Afya kwa Wananchi na Sasa wanapata Huduma za Matibabu kwa ukaribu bila kulazimika kusafiri umbali mrefu na imepunguza idadi ya vifo vinavyoweza kuzuilika.



Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO MWAKA -2050 July 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Azindua Rasmi Bandari kavu ya Kwala

    July 31, 2025
  • Matangazo ya mapokezi ya mabehewa mapya na yaliyokarabatiwa ya Mgr na ufunguzi wa Bandari kavu ya Kwala

    July 31, 2025
  • Rais Samia Kuzindua Usafirishaji wa mizigo Kwa SGR na Bandari ya KWALA Pwani.

    July 30, 2025
  • Kiwanda Cha Simenti chatoa Msaada wa Tsh milioni 36 Shule ya Msingi Misugusugu.

    July 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mansipaa ya Kibaha inakuletea television mtandao
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa