• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

NAIBU WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI ATEMBELEA MAONYESHO WA UWEKEZAJI NA BIASHARA,PWANI

Posted on: October 7th, 2022


Na Byarugaba Innocent,Pwani


Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mhe.Abdallah Ulega ametembelea Maonyesho ya Uwekezaji na Biashara yanayoendelea kwenye Viwanja vya Stendi ya Zamani maili moja Mkoani Pwani.

Maonyesho haya yamezinduliwa Jana na Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt .Jakaya Mrisho Kikwete yakiwa na kauli mbiu isemayo;Pwani ni sehemu sahihi kwa uwekezaji,pamoja tujenge Viwanda kwa uchumi na ajira endelevu huku ikishirikisha kampuni,Mashirika na taasisi mbalimbali.

Mhe.Ulega ameridhishwa na Mpango kabambe wa Halmashauri ya Mji Kibaha wa kupanga,kupima na kutenga maeneo maalum ya uwekezaji wa Viwanda kwenye Kata za Visiga,Mbwawa na Pangani kuwa utaratibu huo ni mzuri kwani unarahisha upatikaji wa bidhaa lengwa

Awali alitembelea Banda la Wizara ya Ardhi,nyumba na Maendeleo ya Makazi ambapo alipata utaratibu wa namna Wizara hiyo inavyorahisisha utoaji wa hati kwa wawekezaji nchini.

Hata hivyo,ametoa rai kwa wataalam wa Wizara hiyo kuongeza Kasi ya upimaji wa maeneo ili kupunguza Migogoro ya Ardhi ambayo imeshamiri hasa Mkoa wa Pwani.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde amesema Kibaha itaendelea kupima maeneo na kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji kuja kuwekeza

Aidha,Mhe.Ulega ameridhishwa na pia na kiwanda cha Hester Bioscience Afrika limited kinachotengeneza chanjo za wanyama na kwamba kimekuwa Mkombozi kwa Serikali kwani badala ya kuagiza kutoka nje ya nchi Sasa zinapatikana hapa nchini

Aidha,ametoa rai kwa wananchi kuongeza Kasi ya Ufugaji ili kujiingizia kipato kuanzia ngazi ya familia ili kujikwamua na wimbi la umaskini kwa Sasa uhakika wa chanjo upo

Maonyesho haya ya Viwanda Mkoa wa Pwani yanafanyika kwa mara ya tatu yanatarajiwa kufikia tamati Oktoba 10,2022

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • MHE.NDOMBA AZINDUA GARI MPYA AINA YA LANDCRUSER ILIYONUNULIWA KWA MAPATO YA NDANI

    November 21, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa