• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

RAS-PWANI ATOA RAI KWA WATUMISHI KUFANYAKAZI KWA KUJITUMA KUISAIDIA SERIKALI

Posted on: September 9th, 2022


Na Byarugaba Innocent,Kibaha

Katibu tawala wa Mkoa wa Pwani Zuwena Omary amewaelekeza watumishi wa Halmashauri ya Mji Kibaha kufanyakazi kwa bidii,weledi na kufuata misingi ya Sheria,Kanuni,taratibu na miongozo iliyopo ili kuisaidia Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ya kuwahudumia wananchi na kuwapelekea Maendeleo.

Zuwena ameyasema hayo Septemba 9,2022 kwenye kikao cha wataalam kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Ofisi ya Mkurugenzi alipofika kujitambulisha na kuzungumza na watumishi hao ambapo pamoja na mambo mengine ametumia fursa hiyo kuweka mikakati ya kuendelea kuufanya Mkoa wa Pwani kung'ara kwenye mambo ya Kitaifa ikiwemo ukusanyaji wa Mapato.

"Watendaji wenzangu tunawajibu wa kutekeleza kwenye Serikali sawa na Majukumu ambayo tumeomba kuyatekeleza,nchi yetu ndio kila kitu kwetu.Uzuri wa Tanzania ni wetu na changamoto ni zetu lakini sisi ndio wenye uwezo wa kuzitatua ili Tanzania iendelee kusonga mbele.Wewe ndio injini na Maendeleo kwenye Taifa hili"...amesema Zuwena.

Aidha,Zuwena ameongeza kuwa Mtanzania unapolegalega kwa sababu yoyote Ile kwa  majukumu uliyopewa ya upangaji,utekelezaji na Usimamizi kwa vyovyote vile hatutakwenda sawa na Mipango ya nchi hivyo  ametoa rai kwa watumishi kufanyakazi pasipo kuwa na visingizio vyepesi vya ukosefu Magari,Ukubwa wa maeneo ya kazi kiutendaji,ufinyu wa bajeti na kwamba hizo ni changamoto za Kawaida zinazotakiwa kutafutia ufumbuzi bila kuathiri malengo yaliyopangwa kutekelezwa kwa maslahi ya nchi yetu.

Katika hatua nyingine Katibu tawala huyo amewapongeza menejimenti kwa kuweka mikakati na na inayotekelezeka iliyofanya kukusanya Mapato ya ndani kwa 132 asilimia yatakayotumika kuwapelekea wananchi MaendeleoAwali Mkurugenzi wa halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde amemweleza Katibu tawala huyo kuwa menejimenti imekuwa na utaratibu wa kukutana kila wiki kutathmini ukusanyaji wa Mapato unavyoendelea  kwenye kila chanzo,kubaini changamoto na kupanga mikakati thabiti ya utekelezaji ili kufikia malengo ya Kitaifa ya ukusanyaji wa Mapato.

Hii ni mara ya kwanza kwa Katibu tawala huyo kufika kujitambulisha na kuongea na watumishi tangu alipoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuchukua nafasi ya Mhandisi Mwanasha Tumbo.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa