• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI YA RAIS SAMIA YAMWAGA MABILIONI YA FEDHA KWA MIRADI KIBAHA MJI

Posted on: November 5th, 2024

SERIKALI YA RAIS SAMIA YAMWAGA MABILIONI YA FEDHA KWA MIRADI KIBAHA MJI


Na Byarugaba Innocent, Kibaha


Halmashauri ya Mji Kibaha imepokea kiasi cha fedha jumla ya Shilingi 5,471,261,909.20 kutoka Serikali kuu kwa ajili ya kutekeleza shughuli za Maendeleo pamoja na Matumizi mengine ikiwemo uendeshaji wa Ofisi


Mweka hazina wa Halmashauri y Mji Kibaha CPA Norah Mbendera amechangua  kiasi kilichopokelewa kuwa ni fedha ya Miradi ya Maendeleo kiasi cha Shilingi 2,061,814,889.20, Malipo ya moja kwa moja (Dummy Payment) Shilingi 3,356,066,020 huku kiasi cha Shilingi 53,381,000. Ikiwa ni ruzuku ya Matumizi mengineyo.


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amempongeza na kumshukuru Sana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan na Serikali yake ya awamu ya sita kwa kutenga na kuidhinisha fedha hiyo kuhakikisha Miradi ya Maendeleo katika Sekta zote inakamilika kwa wakati na kuwanufaisha Watanzania hivyo ametumia fursa hiyo kutoa rai kwa Wataalam kuisimamia kikamilifu ili Ujenzi wake uendane na thamani (Value for Money)


Fedha iliyopokelewa inakwenda kutumika kwenye Miradi ya Sekta ya afya, Utawala, Elimu, Biashara,pamoja na kulipa mishahara ya watumishi.


"Watumishi wenzangu tuna kila sababu ya kumshukuru na kumwombea afya njema Mhe.Rais wetu Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa Uongozi wake bora tena wa Vitendo.Akisema analeta hela anazileta hivyo kazi yetu ni kuzisimamia ili zifanye kazi iliyokusudiwa" amesisitiza Dkt.Rogers Shemwelekwa.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa