• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TASAF YAHAWILISHA MILIONI 107 KIBAHA

Posted on: August 3rd, 2022

Na Byarugaba Innocent, Pwani

Mfuko wa maendeleo ya Jamii nchini -TASAF kupitia programu ya mpango wa kunusuru kaya maskini umehawilisha jumla ya milioni 107,743,889 kwa walengwa 2499 wanatoka kwenye mitaa 60 kati ya 73 ya halmashauri ya Mji Kibaha.

Mratibu wa Halmashauri ya Mji Kibaha Anita Lyoka ameeleza kuwa milioni 22,091,041 zimelipwa taslimu kwa walengwa 546 huku milioni 85,652,848 zikilipwa kwa walengwa 1953 kwa njia ya mtandao kuanzia Julai 26-28,2022.

Fedha hizi hutolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia TASAF ili kuwanusuru walengwa na wimbi la umaskini ambapo hujikita zaidi kwenye kuwasomesha watoto na kugharamia matibabu ili kujikomboa na ujinga na Makazi.

Mkurugenzi wa halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde ametoa rai kwa walengwa kuzitumia fedha hizo kama Serikali inavyotarajia na kwamba wasitumie vinginevyo kwani lengo la Serikali halitafikiwa.

Athuman Mwela kutoka Mtaa wa Msangani na Asha Kola kutoka Mtaa wa Bungo wameshukuru Sana Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia mpango huo kwani fedha hizo zinawasaidia Watanzania wengi kugharamia mahitaji ya watoto shule kama Sare,Madaftari na hali hiyo imeboresha mahudhuria ya watoto shuleni hivyo ombwe la ujinga nchini limedi kupunguza

Aidha, TASAF kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani-UNICEF wametoa vifaa vya usafi wa mwili kwa wasichana balehe wanasoma wa kati ya miaka 10-18 wanatoka kwenye mpango wa kunusuru kaya maskini.

Anita amesema jumla ya boksi 1099 yamepokelewa yenye taulo maalum za kike, michw ya sabuni na ndoo na ugawaji kwa walengwa utafanyika baada ya taratibu kukamilika.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi Manspaa ya Kibaha Dkt Rogers Shemwelekwa awataka Wananchi kuchangamkia fursa za kibiashara Manspaa ya Kibaha

    July 10, 2025
  • WATENDAJI wa Kata Manspaa ya Kibaha watembelea Halmashauri ya Mji Tunduma

    July 09, 2025
  • Mh. Mchengerwa Aipongeza Sekondari ya Kibaha atoa Maagizo

    July 09, 2025
  • Mratibu wa mapato Manspaa ya Kibaha awataka watendaji kuanza utekelezaji/ ampongeza Weo misugusugu

    July 09, 2025
  • Tazama Zote

Video

Watendaji wa Kata Manspaa ya Kibaha waibua mazito mafunzo mbeya
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa