• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI VIZIWAZIWA KWA FEDHA YA SEQUIP WAFIKIA ASILIMIA 75

Posted on: July 20th, 2022

UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI VIZIWAZIWA KWA FEDHA YA SEQUIP WAFIKIA ASILIMIA 75


Na Byarugaba Innocent, Kibaha


Kiasi cha fedha kiasi milioni 470 kutoka Mpango wa maendeleo ya Elimu Sekondari (SEQUIP) zinatarajia kukamilisha ujenzi wa miundombinu inayotakiwa kuanzisha shule mpya ya Viziwaziwa kwenye hiyo, halmashauri ya Mji Kibaha.


Mhandisi wa Mji Kibaha John Alexander amebanisha miundombinu inayojengwa kuwa ni Madarasa 8,Maabara 3,Jengo la utawala,Maktaba,mnara wa kuweka tenki la Maji pamoja na matundu 20 ya vyoo na kwamba ujenzi wake umefikia 75 asilimia.


Aidha fedha hiyo itanunua Komputa moja kwa ajili ya kuchagiza somo la TEHAMA amesema Mhandisi Alexander


Kaimu Ofisa Elimu Sekondari Zakaria Maganga amesema lengo la kujenga shule hiyo kwa kutumia fedha za SEQUIP ni kutokana na Kata hiyo kutokuwa na shule ya Sekondari hivyo imekuwa ni suluhisho la kupunguza umbali  kwa wanafunzi waliokuwa wakitembea zaidi ya KM 14 kwenda kufuata masoko shule ya Zogowale au KM 16 shule ya Miembesaba.


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde amemshukuru Mhe.Samia Suhuhu Hassan na Serikali yake kwa kuendelea kuwajali wananchi wa Kibaha kwenye sekta ya Elimu huku akitoa rai kwa Wazazi na walezi kuwahamasisha watoto wao kusoma kwa bidii hasa masomo ya sayansi ambayo yameendelea kuwa na wataalam wachache nchini.


Wizara ya Elimu,Sayansi na teknolojia pamoja na Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa kushirikiana na Benki ya Dunia wameandaa Mpango wa miaka 5 (2020-2021/2024-2025) kwa ajili ya kuboresha Elimu ya Sekondari Tanzania hasa kwa kuweka Mazingira mazuri ya kujifunzia ili kutoa Elimu Bora,kuwajengea uwezo walimu ili wawe na mbinu Bora za ufundishaji,kufundisha kidigitali hasa kwenye masomo ya Hisabati na Sayansi pamoja na kujenga shule za Sekondari jirani na Makazi ya wananchi.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Waganga wakuu Tanzania wamtunuku Rais Samia Suluhu Hassan Tuzo, Dkt Mpango atoa maagizo.

    July 12, 2025
  • Wananchi Manspaa ya Kibaha kunufaika na Huduma Bora, baada ya mji kupandishwa hadhi ya kuwa manspaa

    July 12, 2025
  • Mkurugenzi Manspaa ya Kibaha Dkt Rogers Shemwelekwa awataka Wananchi kuchangamkia fursa za kibiashara Manspaa ya Kibaha

    July 10, 2025
  • WATENDAJI wa Kata Manspaa ya Kibaha watembelea Halmashauri ya Mji Tunduma

    July 09, 2025
  • Tazama Zote

Video

Watendaji wa Kata Manspaa ya Kibaha waibua mazito mafunzo mbeya
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa