• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

VITUO VYA AFYA 234 KUBORESHA HUDUMA YA AFYA YA KINYWA NA MENO

Posted on: November 23rd, 2022

Na Mwandishi wetu, Mwanza    

Serikali imewataka Watendaji wa Halmashauri nchini kufanya tathmini ya rasilimali zilizopo kwenye vituo vya afya 234 vinavyojengwa kwa fedha za Tozo ili kuboresha huduma za afya ya kinywa na meno.

Kauli hiyo ya Serikali imetolewa na Dkt. Grace Magembe Naibu Katibu Mkuu (AFYA) Ofisi ya Rais TAMISEMI wakati akifunga Mkutano wa Madaktari wa Afya ya Kinywa na Meno wa Mikoa Tanzania Bara leo Novemba 22, 2022, uliofanyika katika Ukumbi wa TMDA, Jijini Mwanza. Dkt. Magembe ameongea kwa njia ya Mtandao (Zoom).

 “vituo vya afya 234 vya Tozo vinavyojengwa kuna vyumba mahsusi kwa ajili ya kutoa huduma za afya ya Kinywa na Meno, natoa maelekezo kwa Halmashauri zote kutathmini rasilimali walizonazo na kuwekeza katika vituo hivi hususan vile ambavyo kuna mahudhurio makubwa ya wateja” amesema Dkt. Magembe.

Dkt. Magembe amesema Ofisi ya Rais TAMISEMI itaendelea kuboresha huduma za afya ya kinywa na meno, kuratibu huduma za afya ya msingi kulingana na Sera na Miongozo iliyopo pamoja na hatua nzuri iliyofikiwa mpaka sasa ambapo huduma hizo zinatolewa kwenye hospitali za Halmashauri 159 sawa na asilimia 86 ikilinganishwa na asilimia 56 mwaka 2019.

Aidha amesema jumla ya vituo vya afya 173 vikiwemo vituo 164 vya serikali na vituo 9 vya mashirika ya dini vinatoa huduma kwa sasa sawa na ongezeko la vituo 46.

Aidha, amesema Serikali imeajiri watumishi 145 wa afya ya kinywa na meno kwa ajili ya huduma za afya ya msingi wakiwemo matabibu wa meno 142 na madaktari wa kinywa na meno watatu waliajiriwa sambamba.

Dkt Omary Chande Mwenyekiti wa Madaktari wa Afya ya Kinywa na Meno wa Mikoa Tanzania Bara maagizo yote watayatekeleza kama ilivyoagizwa na Serikali lakini pia ameshukuru kutengwa bajeti ya vifaa tiba shilingi Bilioni 7.1 pamoja na ujenzi wa vituo vya afya vya kimkakati ambapo Bilioni 1.7 zimekwishapelekwa kwenye Halmashauri.

Mkutano huo wa siku mbili ulifunguliwa mapema jana na kauli mbiu yake inasema “Mchango wa Takwimu bora za afya ya Kinywa na Meno katika kufikia maamuzi na utekelezaji” inayosisitiza matumizi ya takwimu bora na kufanya maamuzi sahihi yenye tija katika utoaji wa huduma za afya ya Kinywa na Meno nchini.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO YA FURSA MBALIMBALI ZA MAENDELEO December 13, 2022
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUFANYA KAZI YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 27, 2022
  • KUAHIRISHWA KWA MAFUNZO YA SENSA July 28, 2022
  • HALI YA MAKUSANYO YA HALMASHAURI KWA MIAKA KUMI MFULULIZO KUANZIA 2012-2022 August 05, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA BIASHARA KIBAHA LAONYESHA MWANGA WA MAFANIKIO

    January 20, 2023
  • MWAKA 2022 UNAISHA: MIAKA 61 YA UHURU WA TANZANIA NA MAENDELEO MAKUBWA YA KISEKTA KIBAHA

    December 23, 2022
  • KIBAHA MJI YAKAMILISHA UJENZI WA VYUMBA 38 VYA MADARASA KWA KISHINDO

    December 23, 2022
  • MKURABITA KUJENGA KITUO JUMUISHI CHA URASIMISHAJI NA UENDELEZAJI BIASHARA KIBAHA

    December 20, 2022
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa