• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

VITUO VYA AFYA,ZAHANATI NA NYUMBA YA MTUMISHI KUKAMILIKA MWEZI SEPTEMBA,2022

Posted on: July 21st, 2022



Na Byarugaba Innocent,Pwani


Halmashauri ya Mji Kibaha,Mkoani Pwani inaendelea na ukamilishaji wa ujenzi wa Vituo vya afya viwili,Zahanati mbili na nyumba ya Mtumishi kwenye Kata za Pangani,Kongowe,Tumbi na Misugusugu zitakazogharimu kiasi cha fedha shilingi 1,253,625,070 kutoka kwenye vyanzo tofauti vya Mapato.


Mganga Mkuu wa Halmashauri Dr.Tulitweni Mwinuka ameeleza kuwa fedha za ujenzi zinatoka kwenye vyanzo mbalimbali ikiwemo miamala ya simu kiasi cha milioni 500,000,000 Mapato ya ndani milioni 435,000,000,TASAF milioni 183,928,570,Serikali kuu milioni 100,000,000 na wananchi wakichangia milioni 34,696,500 na kufanya jumla ya fedha yote kufikia 1,253,625,070


Mhandisi wa Halmashauri ya Mji Kibaha John Alexander amesema kuwa Majengo hayo yatakayo wanufaisha walengwa kati ya 16,500-33,000 kwa Mwaka yanajengwa kwa mfumo wa 'force account' na yanatarajia kukamilika Mwezi Septemba,2022


Anitha Lyoka,mratibu wa TASAF Kibaha Mji amesema kuwa TASAF hutekeleza majukumu manne ya Msingi ikiwemo uhawilishaji wa fedha kwa kaya za walengwa,ujenzi wa miundombinu,kuhamasisha uwekaji wa akiba ili kukuza uchumi wa kaya na utekelezaji wa miradi ya Kijamii ambapo kwa Mwaka 2022/2023 wameanza na ujenzi wa Zahanati ya Mwanalugali pamoja ya nyumba watakayoishi watumishi wawili kwenye Zahanati ya Vikawe.


Mkurugenzi wa halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde amewashukuru wadau wote wa maendeleo hasa kwenye sekta ya afya kuona umuhimu wa kuongeza Vituo vya afya, Zahanati na nyumba ya Mtumishi ambavyo vinakwenda kuhudumia afya ya mwananchi kwani taifa lolote Duniani hutegemea nguvu kazi iliyo imara ili liweze kuzalisha na kujenga uchumi wake.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ZOEZI LA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI 16 KIBAHA TC

    May 09, 2025
  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa