• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WAHESHIMIWA MADIWANI WA KIBAHA WAFIKA KAHAMA KUJINOA.

Posted on: November 1st, 2022


Na Byarugaba Innocent,Kahama.

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Kibaha wamefika Halmashauri ya Manispaa ya Kahama kujifunza namna ya uwezeshaji wa tija kwa Makundi ya akina Mama,Vijana na watu wenye ulemavu ambao ni wanufaikaji wa asilimia kumi ya Mapato ya ndani

Awali akiutambulisha ujumbe uliotoka Kibaha,Mkurugenzi wa halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde amebainisha lengo la ziara kuwa ni kuona shughuli za makundi hayo yanavyofanya kazi kwa tija kutokana na mikopo ya asilimia kumi ili watapo waambia Vijana wa Kibaha kuwa Vijana wa Kahama wameweza kutengeneza bidhaa,Wana masoko makubwa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania na tayari wameanza kutoa ajira kwa Vijana wenzao wawe na uhalisia usio kuwa na shaka.

Amri Abdul Katibu msaidizi wa wamachinga Manispaa ya Kahama amesema kuwa "Vijana tumekuwa wasikivu,tunaishukuru Serikali yetu kwa kutuwezesha.Tulianza kwa ugumu,mitaji ilikata,lakini tulivumilia,tukanyanyuka na leo tunatengeneza fedha na kupata faida" alisema na kuongeza

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhe.Mussa Ndomba kando ya kuwapongeza Vijana kwa uaminifu,uzalendo na uthubutu wao ametoa rai kwa Vijana hao kutengeneza bidhaa zao zenye ubora wa umaliziaji ili ziweze kushindana zaidi kwenye Soko la Dunia

Kwa upande wake Mchumi wa Manispaa ya Kahama Florah Sangiwa amesema kuwa tayari Vijana 2754 wameajiriwa kupitia mikopo hiyo na Manispaa imewatengea eneo lenye Ukubwa wa ekari 2160 kwenye eneo maalum lijulikanalo kwa Ummy Mwalimu Industrial Park umbali wa kilomita 3.4 kutoka Barabara kuu ya Tinde na tayari wameshaweka miundombinu ya Barabara,Maji na Umeme kuruhusu shughuli za wanufaikaji hao

Kwa kauli moja Waheshimiwa Madiwani wamempongeza Mkurugenzi mtendaji wa Manispaa ya Kahama Anderson Msumba kwa utendaji wake mzuri kwani sasa Manispaa ya Kahama imekuwa kama chuo kwa maeneo mengine kufika hapo kujifunza

Wengine waliofuatana na Waheshimiwa Madiwani ni Viongozi wa Chama cha Mapinduzi,Viongozi  wa Wamachinga Pwani na Wataalam wa Halmashauri.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • TIMU YA UKUSANYAJI MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIBAHA YAFANYA ZIARA YA MAFUNZO JIJINI ARUSHA

    July 04, 2025
  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa