• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

ZAIDI YA BILIONI 1.2 KUKAMILISHA MAJENGO YA ELIMU KIBAHA.

Posted on: September 22nd, 2023

Na Byarugaba Innocent,Kibaha

Jumla ya Shilingi 1,261,950,000.00 zinatarajia kukamilisha ujenzi wa vyumba vya Madarasa 22,Ofisi 1 ya Walimu,Mabweni 3 na Nyumba 4 za walimu zenye uwezo wa kuweka familia 8 zinazoendelea kujengwa kwenye Halmashauri ya Mji Kibaha ili kuboresha Mazingira kwa walimu na wanafunzi na kufanikisha ufundishaji na ujifunzaji wa masomo

Aidha,vyumba hivyo vya Madarasa ni pamoja na umaliziaji wa maboma yaliyoanza kujengwa kwa nguvu za wananchi kwa lengo la kuwanusuru wanafunzi kukaa chini na Sasa Serikali inakuja kuwaunga Mkono

Mkuu wa Divisheni ya Mipango na uratibu wa Halmashauri ya Mji Kibaha Wambura Yamo amesema Serikali ya awamu ya Sita inatambua kuwa Taifa lolote lenye Maendeleo huwekeza kwenye sekta ya Elimu ambavyo Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan anawekeza kwa kuimarisha miundombinu,kutoa Elimu bure,kuboresha maslahi ya Walimu sambamba na kujenga nyumba za walimu ili kuwaongezea morali ya ufundishaji

Mkuu wa Divisheni ya Elimu Sekondari,Rosemary Msasi ameeleza kuwa tangu Serikali ianze kutoe Elimu bila malipo wazazi na walezi wamehamasika kuwaandikisha wanafunzi shuleni hali inayofanya kuongezeka kwa uhitaji wa madarasa na Madawati ingawa Serikali imekuwa ikiyaongeza mara zote ili kuwafanya wanafunzi kufurahia masomo yao

Protasi Dibogo ni Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha ameahidi kuwa kazi yake na wataalam ni kusimamia  ujenzi na kuhakikisha unakamilika kwa wakati,huku ubora ukizingatiwa ili thamani ya fedha isadifu miradi inayotekelezwa.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhe.Mussa Ndomba amemshukuru Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa niaba ya wananchi na kuahidi kuwa Waheshimiwa Madiwani wote wataendelea kuisimamia Halmashauri ili miundombinu yote inayojengwa ifae Sasa na Miaka ijayo kulingana na ubora wake.

Matangazo

  • TANGAZO LA HUDUMA ZA KIBINGWA HOSPITARI YA WILAYA LULANZI March 22, 2023
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUFANYA KAZI YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 27, 2022
  • KUAHIRISHWA KWA MAFUNZO YA SENSA July 28, 2022
  • HALI YA MAKUSANYO YA HALMASHAURI KWA MIAKA KUMI MFULULIZO KUANZIA 2012-2022 August 05, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ZAIDI YA BILIONI 1.2 KUKAMILISHA MAJENGO YA ELIMU KIBAHA.

    September 22, 2023
  • KIBAHA YAADHIMISHA SIKU YA USAFISHAJI KWA KISHINDO

    September 22, 2023
  • BILIONI 1.8 KUNG'ARISHA MJI WA KIBAHA KWA LAMI.

    September 20, 2023
  • SERIKALI YA SAMIA YAJENGA SHULE ZA SEKONDARI MBILI MPYA-KIBAHA.

    September 20, 2023
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa