• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

UJENZI WA ZAHANATI KWA UFADHILI WA TASAF WAFIKIA ASILIMIA 95.

Posted on: April 6th, 2023

Ujenzi wa mradi wa Zahanati ya Mwanalugali A Kibaha Mjini unaofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF itakayowahudhumia wakati 3367 umefikia asilimia 95

Katika kufanikisha ujenzi wa mradi huo,jumla ya wananchi 1009 wamejitokeza kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kutoa nguvukazi ili kupunguza gharama za ujenzi na kuharakisha ukamilishaji ambapo jumla ya Shilingi 22,000,000 zimeokolewa kwa nguvukazi yao

Mratibu wa TASAF Kibaha Mjini Anitha Lyoka amesema kando ya kufikia 95% mradi haujanza kutumika kwani fedha za ujenzi zimeisha

"Fedha ya ujenzi imeisha na ujenzi bado haujafikia 100%,taratibu za kuomba fedha kutoka TASAF makao makuu kwa ajili ya ukamilishaji zinaendelea"ameongeza

Diwani wa Kata ya Tumbi kwenye Mtaa Mtaa wenye mradi Mhe.Raymond Chokala ameishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa mradi huo unaolenga kuimarisha afya za Wananchi na kuwa huo ni utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde amesema yeye kama msimamizi wa Halmashauri anaendelea kutekeleza wajibu wake kuhakikisha thamani ya fedha inaendana na ubora wa miundombinu inayotekelezwa

Gharama ya mradi ni shilingi milioni 113,964,285 kati ya fedha hizo TASAF imetoa shilingi 91,964,285 na mchango wa Jamii ni shilingi 22,000,000

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye Usajili wa waombaji nafasi ya muda usimamizi wa Uchaguzi Mkuu 2025 October 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Heri ya siku ya Nyerere

    October 14, 2025
  • Jeshi la zimamoto na Uokoaji laadhimisha siku ya kupunguza majanga Kwa kufanya shughuli mbalimbali

    October 13, 2025
  • TSH milioni 420 ya mapato ya ndani kutengeneza Barabara za mitaa, Wananchi wapongeza

    October 03, 2025
  • Rc pwani aitaka Taasisi ya Elimu ya watu wazima kuleta matokeo chanya Sasa.

    October 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

Matangazo Mubashara Hafla ya Utiaji Saini mikataba ya Soko la Mnarani na miundombinu ya Barabara
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa