• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TUNZENI miundombinu ya maendeleo

Posted on: November 15th, 2025

 Mkurugenzi wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Rogers Shemwelekwa, amewataka wananchi wa Manispaa hiyo kutunza miundombinu na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao ili kuendana na kasi ya maendeleo ya serikali.

Dkt. Shemwelekwa ametoa wito huo wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo katika Kata ya Mbwawa, ambapo amesisitiza umuhimu wa wananchi kushiriki kikamilifu katika kuilinda na kuitunza miradi inayotekelezwa kwa manufaa yao.

“Haipendezi kuona serikali inatoa fedha nyingi kutekeleza miradi ya maendeleo lakini wananchi hawatunzi miundombinu hiyo,” alisema Dkt. Shemwelekwa. “Kwa mfano, Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha imetoa shilingi milioni 420 kwa ajili ya kutengeneza barabara zenye lengo la kuboresha huduma kwa wananchi, lakini changamoto kubwa imekuwa wananchi kutokutunza barabara hizo mara baada ya kufunguliwa.”

Ameongeza kuwa ni muhimu kwa wananchi kutambua kwamba miradi ya serikali ni matokeo ya kodi zao, hivyo ni wajibu wao kuilinda na kuhakikisha inadumu kwa muda mrefu.

 “Kama leo tumefungua barabara, basi mwaka ujao tuweke kifusi na kuendelea kuboresha zaidi, ili tuendelee kupiga hatua za kimaendeleo,” alisisitiza.

Kwa upande wao, wananchi wa Kata ya Mbwawa wamempongeza Dkt. Shemwelekwa kwa utendaji wake na kasi ya kusimamia maendeleo, wakisema kuwa anatekeleza majukumu yake kwa ufanisi na kutatua changamoto zinazowakabili.

 Wameahidi kuendelea kumpa ushirikiano ili kuhakikisha miradi yote ya maendeleo inafanikiwa na kuleta manufaa kwa jamii.


Matangazo

  • Tangazo la Kazi Halmashauri ya Manispaa Kibaha November 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Mhe Dkt Mawazo Ginhu Nicas achaguliwa kuwa Mstahiki Meya Manispaa ya Kibaha

    December 04, 2025
  • Mstahiki Meya Manispaa ya Kibaha ataka utendaji uliotukuka

    December 04, 2025
  • Dc Kibaha akabidhi gari jipya Divisheni ya ardhi na Mipango miji, awataka maafisa ardhi kutatua changamoto za wananchi,

    December 01, 2025
  • Dkt Bashiru awaagiza watendaji wa mifugo Kuongeza bunifu, Tafiti na Thamani ya Mazao

    November 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mubashara Baraza la kwanza la Madiwani Manispaa ya Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa