• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Miradi ya bilioni 11 yakaguliwa Kibaha Mji

Monday 16th, June 2025
@Kibaha Mji Makao Makuu

Na Innocent Byarugaba, Kibaha

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhe. Leonard Mlowe amewaongoza Madiwani na wataalam kukagua miradi yenye thamani ya Tsh.11,069,500,000.00 iliyotekelezwa katika robo ya kwanza kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020.

Miradi hiyo ni vyumba 2 vya madarasa shule ya msingi Visiga vyenye thamani ya tsh.25,000,000.00, Madarasa 2 yenye thamani ya tsh. 29,000,000.00 shule ya msingi Madina, Zahanati ya Msangani yenye thamani ya tsh.154,000,000.00 na Bungo shule ya Msingi inayojenga vyumba 2 vya madarasa kwa tsh.32,000,000.00

Miradi mingine ni ujenzi wa hospitali ya Wilaya yenye thamani ya tsh.1,500,000,000.00, Soko kubwa la kisasa lenye thamani ya Tsh.8,000,000,000.00, Vyumba 4 vya madarasa shule ya msingi Kidimu yenye thamani ya Tsh.50,000,000 na jengo la wajasiliamali lenye thamani ya tsh.170,000,000.00

Aidha, halmashauri inajenga machinjio ya kisasa kwa gharama ya Tsh.804,500,000.00, Zahanati ya Bokotimiza ambayo mpaka sasa imetumia kiasi cha Tsh.60,000,000.00, ujenzi wa bweni shule ya sekondari Mwanalugali na samani zake kwa tsh.180,000,000.00, ukarabati wa shule ya Msingi Mkoani uliogharimu kiasi cha Tsh.15,000,000.00 na ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa shule ya Msingi Maendeleo yenye thamani ya Tsh.50,000,000.00

Makamu mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Omari Bura amewataka wataalam kuendelea kusimamia miradi hiyo kwa ukaribu ili iwe na tija kwa wananchi.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Jenifa Omolo amesema halmashauri hiyo imekuwa ikitekeleza miradi yake kwa kufuata ushauri wa kitaalam, Sheria, kanuni na taratibu zote ili kuhakikisha mradi unaotekelezwa unalingana na thamani ya fedha ili utumike kwa kizazi cha sasa na baadaye.

Ukaguzi wa miradi kwa robo ya kwanza ni kiashiria kuwa sasa tunaingia robo ya pili itakayotufikisha katikati ya mwaka wa fedha 2019/2020.


Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI (UWT) ,MARY CHATANDA ARIDHISHWA NA UJENZI WA HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA

    June 15, 2025
  • HALMASHAURI YA NJI KIBAHA KUELEKEA SIKU YA MTOTO WA AFRICA IMETOA MSAADA WA VIFAA VYENYE THAMANI YA TSH 2,720,000 KWAWATOTO WENYE ULEMAVU SHULE YA MSINGI KONGOWE

    June 14, 2025
  • MAAFISA WA TAKUKURU WATOA ELIMU YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA

    June 10, 2025
  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZA UPASUAJI ZAANZA HOSPITALI YA LULANZI

    May 27, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa