• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Ekari 13,805.27 Kibaha Mji ni kwa matumizi ya Viwanda

Posted on: August 16th, 2018

Halmashauri ya Mji Kibaha ina eneo lenye ukubwa wa kilomita za mraba 750  sawa na  ekari 185,276. Kati  ya hizo ekari 13,805.27 ni kwa matumizi ya viwanda. Maeneo hayo ni Vikawe ekari 454.6, Mbwawa ekari 3,560.51, Mailimoja ekari 208.15, pembezoni mwa barabara ya Morogoro ekari 1,020.75, Miomboni ekari 34 na  Zegereni ekari 8,527.26

 Eneo la viwanda vikubwa lipo Zegereni  Kata ya Misugusugu  umbali wa kilomita 4.5 kutoka barabara kuu iendayo  Morogoro kutokea Dar es Salaam, eneo hili lina ukubwa wa  Ekari 1,246.64

Hadi sasa Halmashauri imepima viwanja vipatavyo 119 katika  eneo lenye ukubwa wa ekari 669.72. Aidha,  zoezi la upimaji kwa Kiaha mjini ni endelevu. Kati ya viwanja  hivyo, 59 vimemilikishwa kwa wawekezaji mbalimbali wa ndani na nje ya nchi.

Katika eneo la Zegereni viwanda 7 tayari vinafanya kazi za uzalishaji wa Nondo, Asali, Gypsum, Kuchakata Oil  chafu ili  kupata vilainishi, kutengeneza nguzo za zege, Vipodozi na  kusindika unga wa mahindi na chakula cha mifugo

Aidha, viwanja vilivyomilikishwa ambavyo vipo katika hatua  mbalimbali za uendelezaji ni  pamoja  na Kairuki Pharmacetical Industry Ltd, Bohari Kuu ya Madawa (MSD), Budget Movers, Jafra Investment & Suppliers Ltd, Bhari Pharmacy Ltd na Darworth Group.

Ushiriki wa Halmashauri ya mji wa Kibaha katika uwekezaji wa viwanda ni pamoja na kushughulikia na kuwezesha upatikanaji  wa maeneo, upimaji viwanja kwa matumizi ya viwanda, utoaji wa  hati miliki  pamoja na vibali vya ujenzi ndani ya muda mfupi, kuhakikisha uwepo wa miundombinu wezeshi katika maeneo ya viwanda kama barabara, ambapo Halmashauri  imechonga barabara ndani ya eneo la viwanda

 Viwanda hivi vimeweza kutoa  ajira zipazo 1,101 kwa mikataba katika fani mbalimbali    kwa wakazi   wa ndani na nje ya Mji wa  Kibaha  na vibarua wapatao 466. Aidha,  inategemewa  kuwepo  na ongezeko zaidi la ajira pindi uendelezaji wa viwanda vyote utakapokamilika   na kufanya kazi.

Halmashauri imeweza kusimamia uendelezaji wa ardhi unaozingatia matumizi bora ya ardhi na kuongeza mapato ya ndani kwa kiasi cha shilingi  Bilioni 1.759 kwa mwaka wa fedha 2017/18.

“Tanzania ya Uchumi wa Viwanda inawezekana shiriki sasa katika ujenzi wake”.

Jenifa C. Omolo

Mkurugenzi wa Mji

Halmashauri ya MjiKibaha

 

 Karibuni Kibaha Mji kwa Uwekezaji 


 

 

Matangazo

  • Walioteuliwa kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 October 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Vikundi vya Jogging Manispaa ya Kibaha vyakimbia mbio fupi na kufanya usafi lengo kuhamasisha Wananchi kushiriki kikamilifu Uchaguzi Mkuu, usafi wa mazingira

    October 18, 2025
  • Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kibaha mjini awahamasisha Wananchi kupiga kura.

    October 16, 2025
  • Heri ya siku ya Nyerere

    October 14, 2025
  • Jeshi la zimamoto na Uokoaji laadhimisha siku ya kupunguza majanga Kwa kufanya shughuli mbalimbali

    October 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Matangazo Mubashara Hafla ya Utiaji Saini mikataba ya Soko la Mnarani na miundombinu ya Barabara
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa