• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

HOSPITALI YA WILAYA KIBAHA MJI YAPATA MASHINE YA MIONZI

Posted on: March 1st, 2021

Na. Innocent Byarugaba, Kibaha

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Jenifa Omolo amekabidhiwa Mashine ya Mionzi na vifaa vyake aina ya Cytec Digital Machine kwa ajili ya Hospitali ya Wilaya Kibaha iliyopo Mtaa wa Lulanzi kutoka kwa Mtaalam wa kufunga mashine hiyo Mhandisi Onesmo Mvanga.

Mashine hiyo iliyonunuliwa na Wizara ya Afya kutoka kampuni ya Cytec Digital mashine yenye makao yake makuu nchini Korea Kusini ina uwezo mkubwa wa kufanya kazi  kutegemeana na idadi ya wagonjwa  watakaofika kupata huduma za kitabibu hata zaidi ya  200 kwa siku.

Omolo ameishukuru sana Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Dkt.John Pombe Magufuli  kwa kuendelea kuimarisha huduma za afya nchini na kwamba ametoa rai kwa wagonjwa kufika kupata huduma ya mionzi hospitalini hapo badala ya kwenda hospitali ya rufaa ya Tumbi

Mhandisi Mvanga aliyesaidiana na Mhandisi Helson Mwamoto kufunga mashine hiyo, amesema kuwa “mashine hiyo ni sawa na mtambo ambao umefungwa hospitali ya Ocean Road na kwamba hauna ukomo wa kutoa huduma kwa wagonjwa kwani ni wa kiwango cha juu sana”

Aidha, amesema kuwa matengenezo yoyote yatakayojitokeza ndani ya kipindi cha miaka miwili kuanzia sasa yatafanywa na kampuni hiyo bure.

Kwa upande wake Lenganwa Samweli, mtaalam wa mionzi kutoka hospitali ya  wilaya Mjini Kibaha atakayeitumia  ameridhishwa na mashine hiyo na kuahidi kuitumia kwa weledi ili iweze kutoa huduma hiyo kwa wananchi muda mrefu.

Mganga mkuu wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dr.Tulitweni Mwinuka mbali ya kuishuku Serikali ametoa rai kwa wataalam wa afya kuendelea kutoa huduma za kitabibu kwa weledi huku wakizingatia sheria, kanuni na taratibu

Vifaa vingine vilivyokabidhiwa ni pamoja na Multi-tray printer, Report Printer, Protective gear lead apron, Goggles, Gonad shield, Neck shield ,Gloves pamoja na Radiation hazard warning signs


Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HUDUMA ZA KIBINGWA ZA UPASUAJI ZAANZA HOSPITALI YA LULANZI

    May 27, 2025
  • MWENYEKITI WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHUGUZI , Mhe. JAJI WA RUFAA JACOBS MWAMBEGELE LEO MEI 14,2025 AMETEMBELEA NA KUZUNGUMZA NA WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.

    May 14, 2025
  • ZOEZI LA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI 16 KIBAHA TC

    May 09, 2025
  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa