• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KIDATO CHA NNE KUANZA MTIHANI WA TAIFA LEO NOVEMBA 14,2022.

Posted on: November 14th, 2022

Na Byarugaba Innocent,Kibaha.


Jumla ya watahiniwa 3537 wa Kidato cha nne wanatarajia kuanza Mtihani wa Taifa Novemba 14,2022 kuhitimisha safari yao ya miaka minne ya masomo yao kwenye Halmashauri ya Mji Kibaha.

Afisa Elimu taaluma wa Halmashauri ya Mji Kibaha Edward Jidamva amebainisha kuwa katika idadi hiyo wanaume ni 1581 sawa na asilimia 44.6 huku wanawake wakiwa 1956 sawa na asilimia 55.4 ambapo kwa idadi hiyo Mikondo 107 imeshaandaliwa.

Aidha,Jidamva amebainisha  kuwa katika Mtihani huo nyeti kabisa nchini,watahiniwa 297 wa Kujitegemea wataketi kuungana na wenzao kwenye vituo 10 ambapo jumla ya mikondo nane imeandaliwa.

Akizungumzia maandalizi ya watahiniwa,Mkuu wa shule ya Sekondari Zogowale Tatu Mwambala amesema kwa Ujumla wanafunzi wameandaliwa vizuri kwani wao kama Wakuu wa shule wamekuwa na mikakati thabiti ya kuhakikisha Kibaha inafanya vizuri kwenye mitihani yote ya Taifa kwa kuwaandaa vema wanafunzi kimasomo

Kwa upande wake Afisa Elimu wa Halmashauri ya Mji Kibaha Rosemary Msasi amesema hana wasiwasi na wanafunzi wote kutoka kwenye shule 40 kwani wameandaliwa vema hivyo ametoa rai kwa watahiniwa hao kujiamini  wanapojibu mitihani yao na wakumbuke pia kumtegemea Mwenyezi Mungu.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mhandisi Mshamu Munde amesema walimu wametekeleza wajibu wao kwa kuwafundisha kwa kipindi cha Miaka minne,Serikali imetekeleza wajibu wake wa kuweka miundombinu wezeshi,Wazazi wametekeleza wajibu wao wa kuwalea na kuwapa mahitaji Muhimu na sasa ni zamu ya  wanafunzi wenyewe kutekeleza wajibu wao wa kufanya Mtihani na kufaulu hivyo amewatakia  kila la kheri.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • MHE.NDOMBA AZINDUA GARI MPYA AINA YA LANDCRUSER ILIYONUNULIWA KWA MAPATO YA NDANI

    November 21, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa