• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MIAKA MIWILI YA DKT.SAMIA KAZINI NA JICHO LA ELIMU KIBAHA.

Posted on: March 14th, 2023

Na Byarugaba Innocent,Kibaha

Ni takribani siku 730 zinazobeba Miezi 24 sawa na saa 17,520 tu za  Dkt.Samia Suluhu Hassan kazini baada ya kifo cha mtangulizi wake Dkt.John Magufuli kuaga Dunia.Hakika yalikuwa majonzi makubwa kwa watanzania kumpoteza Rais aliyekuwa madarakani,hii ni historia mbaya kwa watanzania iliyotokea Machi 17,2021 na hakika haitamaniwi tena.

Tarehe 19 Machi,2021 ilikuwa ni mwanzo wa safari mpya ya Dkt.Samia baada ya kuapishwa na kula kiapo na kuitwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.Safari ni hatua!Sasa anatikiza miaka miwili inatimia hapo Machi 19,2023.Siku hazigandi aisee!

Halmashauri ya Mji Kibaha imesafiri na Rais Samia kwenye kipindi chote hatua kwa hatua.Amefanya mengi Kibaha.Amegusa sekta ya Afya,Elimu,Maji,miundombinu na mengineyo mazuri kwa watanzania.Hata hivyo,kwa leo tumtazame Dkt.Samia alivyoangazia Elimu Sekondari na kuibadili taswira machoni pa wengi.Ni ukweli usiopingika kuwa ameng'amua usemi wa wahenga usema ulimu ni ufunguo wa Maisha.Ufunguo umetua Kibaha.Asante Mama!

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha ameeleza kuwa tayari Bilioni 3,081,000,000.00 zimetua Kibaha Mji.Zimetumika kuiboresha sekta ya Elimu Sekondari.Madarasa 103 yenye thamani ya Shilingi  bilioni 2,080,000,000.00 yamekamilika,yanatumika kuboresha uwezo wa ujifunzaji kwa wanafunzi kuinua Kiwango cha taaluma.Aidha,jumla ya Milioni 200,000,000 kuikarabati shule ya Sekondari Tumbi ili kuirudisha kwenye hali ya usasa na ubora zaidi.

Dkt.Samia amedhamiria makubwa kwenye sekta ya Elimu Sekondari.Serikali yake ndani ya kipindi cha miaka miwili imepitisha kiasi cha milioni 470,000,000.00 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya Viziwaziwa kupitia mradi wa SEQUIP.Tayari miundombinu ya Madarasa,maabara,majengo ya utawala,maktaba,TEHAMA na mahitaji mengine yamekamilika.Shule ipo mguu sawa kuwapokea wanafunzi na walimu tayari kwa kazi.Kazi Moja tu,masomo kuwapa wanafunzi maarifa mapya.

Ni wakati huohuo milioni 531,000,000.00 zimetumika kujenga miundombinu mingine mathalani;Bwalo,matundu ya vyoo,majengo ya utawala,ofisi za walimu na maabara ili kuweka Mazingira wezeshi ya kutolea Elimu.

Mhe.Nickson Simon,Mkuu wa Wilaya ya Kibaha amempongeza Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza miaka miwili madarakani na kumshukuru kwa kutoa fedha nyingi Kibaha kuimarisha Sekta ya Elimu Kibaha.Aidha,ameahidi kuzidi kumsaidia kusimamia na kwamba amewataka wasaidizi wake waanze kufanya kazi zinazoleta matokea chanya.

Afisa Elimu Sekondari Rosemary Mary msasi amesema majengo haya yamesadia kwa kiasi kikubwa kupunguza changamoto za majengo na miundombinu mingine na ameahidi kuongeza usimamizi wa karibu ili yawezekutumika kwa muda mrefu.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO YA HOSPITALI YA MJI KIBAHA

    June 27, 2025
  • WANANCHI KATA YA MBWAWA NA VISIGA WAPEWA ELIMU YA BIASHARA,NA UMUHIMU WA KODI KWA MAENDELEO,

    June 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI KIBAHA WAKIPEWA ELIMU YA MFUMO WA USAJIRI WA MAJENGO ODK

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI KIBAHA IMEVUNJA RASMI BARAZA LA MADIWANI JUNI 17,2025

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa