• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

RAS PWANI AWATAKA WATUMISHI KUCHAPA KAZI KWA KASI NA KUZINGATIA WELEDI

Posted on: March 12th, 2021

RAS PWANI AWATAKA WATUMISHI KUCHAPA KAZI KWA KASI NA KUZINGATIA WELEDI 

Na Innocent Byarugaba, Kibaha

Katibu tawala Mkoa wa Pwani, Dkt Delphine Magere amefanya ziara ya siku moja kwenye halmashauri ya mji wa Kibaha kwa lengo la kuhimiza utendaji kazi kwa watumishi huku wakizingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo yote ya utumishi wa umma katika kuwahudumia wananchi.

Akiwalisilisha taarifa ya watumishi, Mkurugenzi wa halmashauri ya mji Kibaha Jenifa Omolo alisema kuwa ikama ya watumishi ni 2203 hata hivyo waliopo ni 2033 huku kukiwa na upungufu wa watumishi 170. Aidha,  alisema kuwa watumishi 66 watarajiwa kuajiriwa katika mwaka wa fedha 2021/2022 kwani tayari mishahara yao imeshatengwa na kuidhinishwa na Ofisi ya Raisi-Utumishi na utawala bora.

Akiongea na watumishi kwenye ukumbi wa halmshauri, Dkt. Magere alitumia fursa hiyo kuwasilisha salaam kutoka kwa mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo sanjali na kuwatakia mwaka mpya 2021 na kuwapongeza watumishi wote kwa kufanikisha ufaulu mkubwa kwenye mitihani ya kitaifa, ukusanyaji wa mapato, Viwanda na sekta nyingine kwani mafanikio hayo yanaonesha kweli halmashauri ya Mji Kibaha ni Makao makuu ya Mkoa wa Pwani huku akitoa rai ya kutojibweteka kwa mafanikio hayo zaidi ya kuongeza kasi zaidi kiutendaji.

Katika mkutano huu changamoto za watumishi ziliibuka.  Juma Mkalipa na Mkaminoela Hangaya waliotaka kujua ni lini serikali itaboresha masilahi ya watumishi hasa kuongeza Mishahara na kulipa malimbikizo ambayo serikali haojalipa kwa muda mrefu

Akijibu changamoto hizo, Dkt.Magere aliwasihi watumishi wote kuwa watulivu na wavumilivu kwani serikali yetu inayoongozwa na Mheshimiwa  John Pombe Magufuli ni sikivu na kwamba itaongeza muda ukifika kwani kwa sasa serikali imejikita kwenye kujenga  uchumi ikiwemo ujenzi wa miundombinu na itakapokamilika suala hilo litatazamwa na kwamba hii sio Pwani tu ni nchi nzima

Akihitimisha mkutano Dkt.Magere aliwasihi watumishi kuongeza kasi ya uwajibikaji kwa kupendana, kutokufanyakazi kwa mazoea, kutenda kwa ubunifu utakaoongeza tija, kubuni vyanzo vipya vya mapato na kushiriki vyema kwenye ukusanyaji wa mapato huku mianya ya rushwa na upotevu ikizibwa. Aidha, amewataka watumishi kutolaumiana na kunyoosheana vidole kwenye uwajibikaji huku akisisitiza kuheshimiana na kuvumiliana kwani hakuna binadamu aliyemkamilifu mbele za mwenyezi Mungu.

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ZOEZI LA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI 16 KIBAHA TC

    May 09, 2025
  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa