• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

500 Milioni Kuboresha Miundombinu ya Kituo cha Afya Kibaha Mji

Posted on: June 1st, 2018

500 MILIONI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA KITUO CHA AFYA MKOANI

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) imepokea kiasi cha Shilingi milioni 500,000,000.00 za miradi ya Maendeleo kutoka Serikali kuu kwa ajili ya kuimarisha na kuboresha kituo cha afya Mkoani, Halmashauri ya Mji Kibaha mkoani Pwani.

Aidha, Halmashauri ya Mji Kibaha ni Miongoni mwa Halmashauri zilizopata fedha hizo ili ziweze kuboresha miundombinu yake itayokwenda sambamba na utoaji wa huduma bora inayoendana na mahitaji halisi ya wananchi kwa sasa.

Akiwasilisha mbele ya madiwani wa Halmashauri ya Mji Kibaha, Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi na ugavi wa Halmashauri ya mji Kibaha Alphonce Temba alisema uboreshaji huu ni malengo mahususi ya Mpango Mkakati wa nne  wa Sekta ya afya (HSSP-IV) ambapo utaratibu wote wa manunuzi utatumia ‘force Account’ ili kupunguza gharama za ujenzi na muda ingawa ubora wa majengo yanayojengwa utazingatiwa.

Kwa upande wake mkurugenzi wa Mji Kibaha Bi. Jenifa Omolo alisema kuwa Utaratibu huu kwa Halmashauri ya Mji Kibaha unaonekana kama mpya ingawa Halmashauri nyingine zimekuwa zikiutumia na umeonekana kuwa na tija.

“Mheshimiwa Mwenyekiti utaratibu huu wa manunuzi ni kwa mujibu wa ibara ya 17 ya kanuni ya Sheria ya Manunuzi ya Umma ya mwaka 2013, uzuri wake ni kupunguza gharama na kuongeza ubora wa ujenzi husika kwani badala ya kutumia mkandarasi ambaye huwa na mchakato mrefu wa manunuzi ya kawaida, sasa unaweza kutumia mafundi wa kawaida “local fund” na manunuzi yote unakwenda mwenyewe dukani na unanunua bei ya soko kama sementi ni 12,500/-unalipa hiyo lakini lazima ulipe kodi ya serikali kwa kupewa risiti ya mashine ya kieletroniki  (EFD)” alisema

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Leonard Mlowe aliishukuru serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli kwa kuendelea kuikumbuka Kibaha na kuwataka wataalamu kuzingatia utaratibu, kanuni, sheria. miongozo, weledi na maadili ya utumishi wa umma wakati wa utekelezaji.

Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dr. Tulitweni Mwinuka alisema kuwa fedha hizi zitatumika kujenga jengo la upasuaji, Wodi ya watoto na akina Mama, Jengo la Xray, Sehemu ya kufulia na nyumba ya mtumishi

Matangazo

  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KIBAHA TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • TANGAZO LA MNADA WA NG'OMBE KWA WAFANYA BIASHARA WA NYAMA NA NG'OMBE ,MTAA WA MTAKUJA KATA YA PANGANI, UNAOFANYIKA KILA ALHAMISI. March 13, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ZOEZI LA MABORESHO YA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI 16 KIBAHA TC

    May 09, 2025
  • KIBAHA MANISPAA YANG'ARA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 30, 2025
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • DKT.SHEMWELEKWA ATETA NA WAMILIKI WA VITUO VYA MAFUTA KIBAHA Na.Byarugaba Innocent, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufa

    November 22, 2024
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa