• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Watendaji wa Kata Manspaa ya Kibaha wafanya Mafunzo Jiji la mbeya

Posted on: July 8th, 2025

Watendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha Wafanya Mafunzo ya Ukusanyaji Mapato na Utunzaji wa Mazingira Jijini Mbeya


Mbeya – Julai 8, 2025


Watendaji kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha wameanza rasmi mafunzo maalum kuhusu ukusanyaji wa mapato katika vyanzo vya leseni ya makazi, utunzaji wa mazingira, pamoja na utoaji wa mikopo kwa makundi maalum ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. 

Mafunzo hayo yanafanyika katika ukumbi wa Jiji la Mbeya, yakilenga kuboresha utoaji huduma na kuongeza mapato ya halmashauri.


Mafunzo hayo yametolewa na wataalamu kutoka Halmashauri ya Jiji la Mbeya akiwemo Bw. Deus Muhoja, Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii, pamoja na Bw. Ramadhani Likwina, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Udhibiti Taka Ngumu na Usafishaji.

 Wataalamu hao wameeleza mbinu mbalimbali zinazotumika jijini Mbeya katika ukusanyaji wa taka na kudumisha usafi wa mazingira.


Katika ziara ya mafunzo ya vitendo iliyofanyika ofisini ya Kata ya Luanda na dampo la Nsalaga, watendaji wa Kibaha walijionea namna Jiji la Mbeya linavyotumia taka ngumu kama kichocheo cha maendeleo. 

Imeelezwa kuwa watendaji wa kata jijini Mbeya wamepewa dhamana ya kusimamia taka hizo, jambo ambalo limewawezesha kutatua changamoto mbalimbali katika kata zao ikiwemo kuhakikisha Jiji lao kinakuwa safi muda wote.


Kata ya Luanda imekuwa mfano wa kuigwa kwa namna ilivyofanikiwa kujenga Ofisi bora ya kata na kusaidia miradi ya maendeleo kupitia mapato ya taka, ikiwa ni pamoja na kununua bati, kulipa walinzi na vibarua kutokana na chanzo Cha taka.


Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kibaha amesema kuwa lengo kuu la ziara hiyo ni kujifunza mbinu bora za kuongeza mapato na kuziboresha huduma za Halmashauri ya Manspaa Kibaha.


Kwa upande wao, watendaji wa Kibaha wameahidi kutumia ujuzi walioupata kuboresha ukusanyaji wa mapato na huduma kwa wananchi.


Ziara hiyo itaendelea kesho katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma kwa lengo la kuendeleza mafunzo hayo kwa vitendo na kujifunza kutoka kwa halmashauri nyingine zenye mafanikio makubwa.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Mh. Mchengerwa Aipongeza Sekondari ya Kibaha atoa Maagizo

    July 09, 2025
  • Mratibu wa mapato Manspaa ya Kibaha awataka watendaji kuanza utekelezaji/ ampongeza Weo misugusugu

    July 09, 2025
  • Mafunzo Kwa vitendo

    July 09, 2025
  • Taka Ngumu ni fursa Kwa maendeleo

    July 09, 2025
  • Tazama Zote

Video

Wakuu wa Divisheni na Vitengo Manspaa ya Kibaha watembelea Hifadhi ya Taifa ya Mikumi
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa