• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kibaha Town Council
Kibaha Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Kibaha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Kiutawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Usimamizi
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA na Uhusiano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mazingira na Mipango Miji
      • UKIMWI
      • Maadili
      • Ustawi wa Jamii
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Viombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIBAHA WAMSHUKURU MKURUGENZI DKT. SHEMWELEKWA KWA SAFARI YA MAFUNZO

Posted on: July 6th, 2025

WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIBAHA WAMSHUKURU MKURUGENZI DKT. SHEMWELEKWA KWA SAFARI YA MAFUNZO


Watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha wamempongeza na kumshukuru Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Dkt. Rogers Shemwelekwa, kwa kuwapa motisha kupitia safari ya kikazi ya mafunzo katika Halmashauri ya Jiji la Arusha na mbuga ya wanyama ya Mikumi, mkoani Morogoro.


Pongezi hizo zimetolewa na Wakuu wa Divisheni na Vitengo walioshiriki katika ziara hiyo, ambapo baadhi yao walitembelea Mbuga ya Wanyama ya Mikumi kwa ajili ya kutalii na kuhamasisha utalii wa ndani, huku timu ya ukusanyaji mapato ikielekea Jiji la Arusha kwa ajili ya kujifunza mbinu mpya za ukusanyaji wa mapato na kubadilishana uzoefu na wataalamu wa halmashauri hiyo.


Watumishi hao wameeleza kuwa safari hiyo ya mafunzo imekuwa chachu ya fikra mpya katika utendaji kazi wao wa kila siku. Wamesisitiza kuwa Dkt. Shemwelekwa ni kiongozi wa mfano anayejali ustawi na maendeleo ya watumishi wake, huku wakimhakikishia kuwa wataongeza bidii katika ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri kwa kutumia mbinu walizojifunza.


Kwa pamoja, watumishi hao wamesema kuwa motisha hiyo imetoa hamasa kubwa ya kuongeza ubunifu na ufanisi katika utendaji kazi, hasa katika kubuni vyanzo vipya vya mapato na kuboresha huduma kwa wananchi wa Manispaa ya Kibaha.

Matangazo

  • INEC yahimiza Wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji Daftari awamu ya pili May 14, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUND VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 02, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -MSAIDIZI KUMBUKUMBU II October 06, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIBAHA WAMSHUKURU MKURUGENZI DKT. SHEMWELEKWA KWA SAFARI YA MAFUNZO

    July 06, 2025
  • Watendaji wa Kata Manispaa ya Kibaha Katika Ziara ya Mafunzo Jijini Mbeya

    July 07, 2025
  • WAKUU WA DIVISHENI NA VITENGO KIBAHA WAFANYA ZIARA YA UTALII WA NDANI MIKUMI

    July 05, 2025
  • TIMU YA UKUSANYAJI MAPATO KUTOKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIBAHA YAFANYA ZIARA YA MAFUNZO JIJINI ARUSHA

    July 04, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mh. Waziri Mkuu akiwa ziarani Kibaha
Picha za Kutembea

Kiungo cha Haraka

  • Sheria Ndogo(Ushuru wa magari ya abiria na mizigo)
  • Barua Pepe
  • Uujazi wa Viwanja
  • Muundo Wa Kiuongozi Halmashauri
  • Dira na Dhamira ya Halmashauri

Kiungo Kinachohusiana

  • Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Ofisi ya Raisi, Tawala za Serikali za Mikoa na Mitaa
  • Utumishi
  • Utumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani Ilipo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Disclamer
    • MMM
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Zote Zimahifadhiwa