Hatimaye leo Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Adolf Mkenda ametembelea banda la Halmashauri ya Mji Kibaha katika maonesho ya nanenane ya kanda ya Mashariki Mjini Morogoro na ameonesha kufurahishwa na uwepo wa bidhaa tofauti tofauti zenye ubora.
Kibaha Town Council
Anuani ya Posta: P.0.Box 30112
Simu: 023 240 2938
Simu ya Kiganjani: Mkurugenz0715390421
Barua Pepe: td.kibaha@pwani.go.tz & td@kibahatc.go.tz. SIMU: Afisa Mipango Miji: 0754002729 & Afisa Ardhi: 0767506970
Haki Zote Zimahifadhiwa